• Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Mustafa Raad Al-Azzawi: Amezaliwa 19-4-1986 Adhwamiya Baghdad Iraq, alikua ni mwana chama katika jumuiya ya wasomaji wa tajweed wa Iraq na ameshiriki mashindano mengi tofauti tofauti, amefariki 26-5-2007, Mwenyezi Mungu amrehem.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    yeye ni , Ahmed bin Mohammed bin Abdullah bin Moaidh Al-hawash imam na khatwibu wa Msikiti katika mji wa Khamis mshetw ya kusini mwa Saudi Arabia, alizaliwa katika mji wa Uhudi Rafidah mwaka 1374 AH.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Alizaliwa Julai 1982 katika kijiji cha Binyati Omarwabh eneo katika North Kordofan State, Sudan, ambaye ana shahada ya kutoka kwa msomaji Sheikh wa Al-Azhar Septemba 2009.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shekh Mahmoud Ahmad Abdulhakam: Amezaliwa siku ya jumatatu sawa na 1February 1915 katika kijiji cha Karnak, amehifadhi QUR'AN Misri katika Chuo cha Azhar, na alishiriki katika kuanzisha umoja wa wasomaji wa Qur'an, alifariki siku ya jumatatu sawa na 13September 1982, Mwenyezi Mungu amrehem.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Msomaji kutoka Misri

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Rashad Mohammed Bin Abdul Salam bin Abdul Rahman al-Sharif, alizaliwa katika mji wa Khalil Palestina mwaka 1925 M.Nanikatika wasomaji mashuhuri duniani,nanimsomaji wa msikiti mtukufu wa Aqsaa,na msikiti wa Al-ibrahimy katika mji wa Al-khalil,alihamiya jordan mwaka 2002,na alikuwa imamu katika msikiti wa mfalme Abdullah Al-Awal katika Abdali.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Amezaliwa Libanon 1966,na amepata Na ana shahada ya udaktari(PHD)katika lugha ya kiarabu,na alipata shahada ya diploma yajuu,nastashahada katika masomo ya Kiislamu (masomo utaalamu)

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Msomaji wa Misri

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    -Shekh Nassor Khamis: Ni mlinganiaji maarufu nchini Kenya, na ni mtoa Darsa katika misikiti mbalimbali mjini Mombasa Kenya.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shekh Ally Zuberi: Amemaliza masomo yake kitengo cha Hadith katika Chuo kikuu cha kiislamu Madina nchini Saudi Arabia. Kwa sasa ni mlinganiaji katika Mkoa wa Tanga na ni khatwib katika Msikiti wa Darul Uluum, pia ni Mudiri wa chuo cha Darul Uluum Tanga Tanzania.-

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shekh Al-Amin Ally Rajab amehitimu masomo katika chuo cha Maahad kisauni mombasa enya, na nimlinganiaji kenya na ni khatwibu katika msikiti wa Yusuf tudor Mombasa Kenya.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Arafat Magmoud amesoma katika chuo cha Kisauni College akapata Degree katika masomo ya kiislam, ni khatwibu katika kituo cha Ibn Taymiya na nimlinganiaji katika visiwa vya Zanziba.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shekh Abuu Anasi Bwaluka ni katika walinganiaji wa Ahlusuna waljamaa katika nchi ya Tanzania na nikhatwibu katika msikiti wa Answari Kilimanjaro moshi Tanzania.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shekh Abuu Hashim Abdulqaadir amesoma katika chuo kikuu cha kiislam Madina na nimwalimu katika markazi Tawhiid na Madrasatul Al-Munawara Mombasa Kenya na nikhateibu katika masjid mula Mombasa Kenya.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shekh Abuu Musa Abubakari Musa Kiza amehitimu masomo katika chuo cha Maahad Kisauni Mombasa Kenya nanikatika walinganiaji katika mkoa wa Tabora na nirais katika kituo cha kislam Kaloleni Tabora.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 14

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shekh Ahmad Khalil Shahin

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 13