• Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Kiongozi wa Taasisi ya Elimu Saudi ya Qur'an Tukufu na Sayansi yake, na imamu wa msikiti wa Amiri: Abdullah bin Mohammed - Atiiq - Riyadh .

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Msomaji wa Misri, naye ni imam na khatwibu wa msikiti wa Mujamma'a Dubai Uwekezaji.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shirzad Bin Abdul Rahman Bin Twaher Bin Hasan: Amezaliwa mwaka 1968 kaskazini mwa Iraq, amesoma kwa Mashekh mbalimbali wa Iraq miongoni mwao ni Shekh Abdullatwif Bin Khalil Aswufy, na Shekh Alhafidh Ally Bin Hasan Alwaswaby, na Shekh Alhafidh Almuqry Abdul Razaq Muhammad Umaarah, na alikua Imamu katika Misikiti mingi katika Nchi ya Iraq, Yemen na Imarat.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Muhammad Shaaban Abuu Qarn: Ni msomaji Mmisri, amezaliwa mwaka 1984, alipata shahada yake ya tajweed na elimu ya sheria katika chuo cha Azhar.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Msomaji wa asili ya Bosnian, na imamu wa msikiti wa Zagreb, Croatia.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Profesa wa somo la Hadith katika Chuo Kikuu cha Dar Al Uloom katika wilaya ya Deoband India, na Rais wa Taasisi ya Wasomi India - kubwa na kongwe ya Kiislamu Hindi binafsi

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Imad Zuhair Abdulqadir Hafidh: Amezaliwa katika mji wa Madina mwaka 1382 Hijiria, akapata elimu ya udokta katika chuo kikuu cha kiislam Madina mwaka 1412 Hijiria, alikua Imamu na khatwib katika Msikiti mkuu wa Manaratayn, na Msikiti wa Qubah, na alikua Rais katika jumuiya ya kuhifadhi Qur'an tukufu katika mji wa Madina.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Jazzai Bin Flaih Alswuweylh: Amezaliwa mwaka 1969, ni mmoja kati ya wasomaji maarufu katika Nchi ya Kuwait, na alimaliza masomo yake ya sheria na Qur'an na tajweed katika chuo kikuu cha Kuwait.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shekh Yahya Ahmed Alhalily: Amezaliwa katika kijiji cha Alhalilah katika mji wa Swana'a Yemen mwaka 1952, alijiunga na Halaqa ya kuhifadhi Qur'an tukufu katika Msikiti Mkuu wa Swana'a na akakamilisha kuhifadhi Qur'an tukufu mwaka 1962, kisha akasoma elimu ya visomo saba kwa wanachuoni tofauti mwaka 1973, na alifanya kazi ya kufundisha Qur'an tkufu tangu mwaka 1970, pia alikua Imamu na khatwib katika Msikiti mkuu wa Tahrir katika mji wa Swana'a Yemen.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Msomaji wa nchi ya Kuwait.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shekh Basil Bin Abdul-Rahman al-Rawi: Amezaliwa Iraq katika mji wa Baghdad mwaka 1953, alimaliza masomo yake katika chuo kikuu cha Baghdad katika kitivo cha kanuni na siasa mwaka 1975 na alipata nafasi ya kwanza wakati huo, na wizara ya mambo ya nje ilimuomba afanye kazi kama diplomasia mwaka 1977, na akaacha kazi mwaka 1990, akashughulika na kusoma Qur'an kuihifadhi na kuifundisha.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Msomaji waki Saudi.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Mustafa Raad Al-Azzawi: Amezaliwa 19-4-1986 Adhwamiya Baghdad Iraq, alikua ni mwana chama katika jumuiya ya wasomaji wa tajweed wa Iraq na ameshiriki mashindano mengi tofauti tofauti, amefariki 26-5-2007, Mwenyezi Mungu amrehem.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    yeye ni , Ahmed bin Mohammed bin Abdullah bin Moaidh Al-hawash imam na khatwibu wa Msikiti katika mji wa Khamis mshetw ya kusini mwa Saudi Arabia, alizaliwa katika mji wa Uhudi Rafidah mwaka 1374 AH.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Alizaliwa Julai 1982 katika kijiji cha Binyati Omarwabh eneo katika North Kordofan State, Sudan, ambaye ana shahada ya kutoka kwa msomaji Sheikh wa Al-Azhar Septemba 2009.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Shekh Mahmoud Ahmad Abdulhakam: Amezaliwa siku ya jumatatu sawa na 1February 1915 katika kijiji cha Karnak, amehifadhi QUR'AN Misri katika Chuo cha Azhar, na alishiriki katika kuanzisha umoja wa wasomaji wa Qur'an, alifariki siku ya jumatatu sawa na 13September 1982, Mwenyezi Mungu amrehem.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Msomaji kutoka Misri

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Rashad Mohammed Bin Abdul Salam bin Abdul Rahman al-Sharif, alizaliwa katika mji wa Khalil Palestina mwaka 1925 M.Nanikatika wasomaji mashuhuri duniani,nanimsomaji wa msikiti mtukufu wa Aqsaa,na msikiti wa Al-ibrahimy katika mji wa Al-khalil,alihamiya jordan mwaka 2002,na alikuwa imamu katika msikiti wa mfalme Abdullah Al-Awal katika Abdali.

  • Kiswahili

    Mtunzi, Idadi ya Vipengele : 1

    Amezaliwa Libanon 1966,na amepata Na ana shahada ya udaktari(PHD)katika lugha ya kiarabu,na alipata shahada ya diploma yajuu,nastashahada katika masomo ya Kiislamu (masomo utaalamu)