Maana ya Ibada
Mufti : Shaykh Muhammad ibn Swaleh Al-Uthaymeen
Tafsiri: Abubakari Shabani Rukonkwa
Kurejea: Yunus Kanuni Ngenda
Msambazaji: Ofisi ya da’awah na kuhamasisha jamii ilipo Rabuwa Riyadh
Maelezo
Mada hii ni fatwa ambayo nimaswali aliyo yajibu Shaykh Muhammad ibn Saalih al-’Uthaymeen (Allah amrehemu) na swali nihili: Nini maana ya Ibada? Je, ina maana ya ujumla na maana maalumu ?.
- 1
PDF 553.6 KB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: