Alaqa Baina ya siku za Hija na siku ya Qiyama 3

Alaqa Baina ya siku za Hija na siku ya Qiyama 3

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Uzito na ubora wa siku ya Arafa na jinsi inavyo fanana na siku ya Qiyama pia nikwamba mwenye kufanya Hijja anatakiwa akithirishe kufanya toba, pia imezungumzia umuhimu wa kuendelea kufanya matendo mema baada Hijja.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi