Baadhi Ya Makosa Katika Kuzika
Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani
Kurejea: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo
Mada hii inazungumzia: Baadhi ya makosa katika kuzika, na umuhimu wa kukumbushana na ubora wa kuijufunza ibada na kuisoma, na miongoni mwa makosa katika kuzika nikuweka mto wa maiti, na kufunguliwa sikio na kidole gumba, nakulifanya kaburi pembe nne.
- 1
Baadhi Ya Makosa Katika Kuzika
MP3 54.9 MB 2019-05-02
Utunzi wa kielimu: