Idadi ya Vipengele: 1198
27 / 6 / 1438 , 26/3/2017
Mada hii inazungumzia: Hali ya Imamu na Maamuma ndani ya Swala na utaratibu wake.
Mada hii inazungumzia: Tahadhari kwa Maamuma juu ya swala la kutofautiana na Imamu katika swala.
Mada hii inazungumzia: Wajuzi na wenye elimu ndio wanao takiwa kusimama nyuma ya Imamu, ili kumkosoa Imamu pindi anapo kosea.
Mada hii inazungumzia: Maneno anayosema Imamu wakati wa kunyoosha swafu za Maamuma wake, na hukumu ya mwenye kuswali peke yake nyuma ya swafu.
Mada hii inazungumzia: Muda anaotakiwa kusimama Maamuma wakati inapo qimiwa swala.
Mada hii inazungumzia: Hukumu ya Uimamu kwa Maamuma na namna kuwaswalisha wanaume na wanawake.
Mada hii inazungumzia: Hadhi na na nafasi ya Imamu katika Msikiti.
Mada hii inazungumzia: Hukumu ya Imamu ambae Maamuma wake wanamchukia na hawamtaki.
Mada hii inaelezea: Hukumu ya kuswali swala ya faradhi, pia imezungumzia hatari ya kuichelewesha swala katika wakati wake.
Mada hii inaelezea: Hukumu ya mwenyeji kuswali nyuma ya msafiri, pamoja na hukumu mbali mbali za Uimamu.