Vitendo vya Mahujaji katika siku ya Arafa 1

Vitendo vya Mahujaji katika siku ya Arafa 1

Maelezo

Mada hii inazungumzia: Ubora wa siku ya Arafa na kwamba ni siku ya kutubia na kuomba dua pamoja na kufanya tasbihi sana, pia imezungumzia umuhimu wa kuwa na yakini na kuto kata tamaa kwani Rehma ya Allah ni pana.

Download
Tuma maoni kuhusu ukurasa huu kwa msimamizi