Idadi ya Vipengele: 1198
27 / 6 / 1438 , 26/3/2017
Mada hii inaelezea: Umuhimu wa Sijda ya kushukuru (Sijdatu shukri) na wakati gani wa kusujudu sijda hiyo.
Mada hii inaelezea: Umuhimu wa Sijda ya kisomo (sijdatu tilaawah) na namna ya kusujudu Sijda ya hiyo ndani ya swala.
23 / 6 / 1438 , 22/3/2017
Mada hii inazungumzia: Swala za Sunna zilizo za sababu na nyakati zake, pia imeelezea sijida ya kisomo (sijidatu tilawa) na umuhimu wake
Mada hii inazungumzia: Nafasi ya Swala katika Uislamu, pia imeeleze umuhimu wa kuchunga masharti na wajibati katika swala
Mada hii inazungumzia: Aina pamoja na mgawanyiko wa swala za Sunna, imeelezea swala za Sunna zilizo za sababu
Mada hii inazungumzia: Kushiba sana usiku ni katika sababu zenye kumfanya mtu kushindwa kuamka kuswali (Qiyamu layli), pia imezungumzia swala za usiku zinampandisha mja daraja
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayosaidia kuamka kuswali usiku ni mtu kulala akiwa twahara, au kulala na udhu
Mada hii inazungumzia: Mambo matano ya kuzingatia ukiwa hapa duniani, pia imeelezea umuhimu wa kuipa nyongo dunia
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuitumia fursa na afya katika kufanya ibada kwa ajili ya Allah
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuacha maasi na kurudi kwa Allah, pia imeelezea hatari ya kuzama katika maovu