Kujua kuhusu Uislamu
Idadi ya Vipengele: 534
- Nyumbani
- Lugha ya maonyesho : Kiswahili
- Lugha ya maudhui : Lugha zote
- Kujua kuhusu Uislamu
- Lugha zote
- Afar
- Akani
- Albanian
- Amharic
- Armenian
- Azerbaijani
- Balochi
- Bengali
- Bosnian
- Bulgarian
- Chamie
- Chechen
- China
- Comorian
- Czech
- Dan marki
- Estonian
- Finlandian
- German
- Gojaratne
- Hausa
- Hungarian
- Icelandian
- Indonesian
- Ingush
- Italian
- Kannada
- Kazakh
- Kenya Rwanda
- Khmer
- Kiarabu
- Kiassam
- Kibambari
- Kiebrania
- Kifaransa
- Kifilipino(marnawi)
- Kifilpino(tagalogo)
- Kifula
- Kifulatia
- Kifurusi
- Kiganda
- Kihindi
- Kiholanzi
- Kijapani
- Kijiojia
- Kinepali
- Kingereza
- Kireno
- Kiswahili
- Kitigrinya
- Kituruki
- Kivetinam
- Korean
- Kurdish
- Kyrgyz
- Macedonian
- Madagascar
- Malay
- Malayalam
- Mangolia
- Mlagashi
- Mori
- Norway
- Oromo
- Pashto
- Polish
- RUSIA
- Romanian
- Sango
- Serbian
- Shishuwa
- Sinhalese
- Slovenia
- Slovenia
- Somalia
- Spanish
- Swedish
- Tajik
- Tamazight
- Tamil
- Terugu
- Thai
- Ukrainian
- Urdu
- Uyghur
- Uzbek
- Wolof
- Xhosa
- Yoruba
- Yoruba
- Za africa
- showall Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
• Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu katika uislam amezungumzia maana ya haki na umuhimu wa kujuwa haki za binadamu na ulazima wa kuzilinda, pia ametaja haki tano katika Quraan kwa ujumla. • Mda hii inazungumzia: maana ya binadamu na maana ya uislam, na ametaja mafundisho ya uislam kuhusu haki za binadamu. • Amezungumza kuwa uislam ndio wakwanza kufundisha haki za binadam, Haki ya kwanza (Haki ya kuishi). • Mada hii inazungumzia: Uharam wa kujiua na niharam kutumia kitu ambacho kitamsababishia kifo, kama kuvuta sigara na pombe nk, pia amezungumzia haki ya pili (Kulinda mali za watu) na uharam wa kudhulumiana. • Mada hii inazungumzia: Uharam wa kudhulumiana na chanzo chake, pia amezungumzia uharam wa kula riba na njama za nchi zilizo endelea katika kula riba, pia kazungumzia uharam wa kula rushwa, na dhulma nimaradhi yanayo ambukiza. • Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu ikiwemo mwanamke kuheshimiwa utu wake, amebainisha hali ya mwanamke kabla ya uislam, na jinsi uislam ulivyo linda heshima ya mwanamke, kabainisha jinsi mwanamke anavyo dhalilisha mwanamke katika karne ya 21. • Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu ikiwemo haki ya kuabudu, na amebainisha kuwa hakuna kulazimishana, kasha akataja hali ya ulinganiaji wakati wa mtume na uongo wa wale wanao sema uislam ulienezwa kwa upanga, bali uislam uliingia kwa hoja zenye nguvu. • Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu nayo nihaki ya mwanadamu kuwa huru, na msingi wa uhuru wa binadamu, ambayo inatolewa katika maneno ya Omar bin Khatwabi (r.a).
- showall Kurejea : Yasini Twaha Hassani
Mada hii inazungumzia: Mbinu wanazozitumia maadui wa Uislamu lengo ni kuuchafua uislam, lazima watu waisafishe dini ya Allah (S.w), imezungumzia pia ubaya wa kundi la khawarij na uharamu wa kuua au kumwaga damu bila haki.
- showall Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Anuwani ya mada hii ni: Fadhila alizopewa mwanadamu, na kuitumia vizuri neema ya macho na ulimi.
- showall Mhadhiri : HAMZA RAJABU SEYFU Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazunguzia Mipaka ya kuheshimiyana baina ya waislam.
- showall
Makala imetafsiriwa kwa lugha ya Almania ikielezea ufahamu wa kimakosa kuhusu kuingia katika Uislamu ikiwemo: 1: Mwenyezi Mungu kafanya wepesi katika kuingia kwenye Uilsamu, na wala hajaweka uzito wowote, 2:Tofauti ya ufahamu wa kimakosa, unaoweza kumzuwia mtu kuingia katika Uislamu, 3: Mdhambi yaliyo tangulia, na khofu kwa yaliyo tangulia, au kutompata mjuzi katika waislamu, haifai kabisa kumzuwiya mtu yeyote anaetaka kuingia katika Uislamu.
- showall
- showall
- showall
- showall
- showall
- showall
- showall
- showall Mwandishi : Bilal Philips
Kitabu kimefanyiwa tarjama kwa lugha ya Tijrina kinasherehesha kwa ufupi Dini ya Uislamu, na kwamba ndio dini sahihi, Allah hakubali dini nyingine tofauti na Uislamu.
- showall
- showall
- showall Mhadhiri : Hilal Sheweji Kipozeo Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea namna jamii ilivyo vurugika na uislam ndio dini pekee ya kuweza kubadisha maadili.
- showall
- showall
- showall
- showall Mwandishi : Abdul Rahman bin Abdul Karim Sheihah
Kitabu kimefanyiwa tarjama kwa lugha ya Holande, ni muongozo kwa wasiokuwa waisilamu, kwa kuwalingania kuwa waisilamu na kubainisha ubora wake, kataja mtunzi nguzo za uisilamu, na kataja dalili kutoka katika Qur-an na Sunna.
Follow us: