- The Noble Quran
- Sunnah of Prophet Muhammad
- Islamic Creed
- Tawhid (Monotheism)
- Worship
- Islam
- Imān (Faith)
- Matters of Faith
- Benevolence
- Disbelief (Infidelity)
- Hypocrisy
- Shirk (Polytheism)
- Religious Innovation: Types and Examples
- Companions and Family of Prophet Muhammad
- Tawassul (Solicitation)
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jinn
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahl-us-Sunnah wa al-Jama‘ah
- Doctrines and Religions
- Sects
- Attributed Sects to Islam
- Contemporary Ideological Doctrines
- Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Purification and its Rulings
- Prayer
- Rulings of Funeral
- Zakah
- Fasting
- Pilgrimage and Umrah
- Friday Sermon
- Prayer of the Sick
- Prayer of the Traveler
- Prayer during Fear
- Transactions
- Oaths and Vows
- Family
- Marriage
- Divorce
- Recommended and Disliked Divorce
- Revocable and Irrevocable Divorce
- Woman’s Waiting Period
- Li‘ān (Husband Swearing His Wife Had Intercourse with Another Man)
- Zihār (Likening One’s Wife to His Mother; To Prevent Her On Himself)
- ilā’ (Swearing Not to Intercourse with One's Wife)
- Wife Seeking Divorce
- Taking back One's Divorced Wife
- Breastfeeding
- Child's Custody
- Alimony
- Clothes and Adornment
- Entertainment
- Muslim Society
- Youth Affairs
- Women Affairs
- Children Affairs
- Medicine and Treatment and Islamic Faith-Healing
- Foods and Drinks
- Islamic Criminal Law
- Judiciary System in Islam
- Jihad
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqh of Minorities
- Islamic Policy
- Schools of Islamic Jurisprudence
- Fatāwa (Fatwas)
- Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Books on Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Virtues/Noble Characteristics
- Arabic Language
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Softening Hearts Reminders
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Current State of Calling to Allah's Religion
Video
Idadi ya Vipengele: 1121
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Maneno aliyosema mama Aisha (r.a) kabla ya kushuka Aya kwa Mtume (s.a.w) za kumtakasa kutokana na uchafu aliozushiwa, pia imezungumzia hatari ya kumzushia muislamu uchafu wa zinaa na kwamba ni katika madhambi makubwa.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Mtume (s.a.w) kumruhusu bi Aisha (r.a) kwenda kwao wakati akisubiri suluhisho kutoka kwa Allah kutokana na uzushi aliozushiwa, pia imezungumzia kilio alicholia mama Aisha (r.a) mbele ya wazazi wake.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Kisa cha uzushi aliozushiwa mama Aisha (r.a) na kwamba madhara ya ulimi ni makubwa kulikoupanga, pia imezungumzia hatari na ubaya wa uzushi katika uislamu.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kujifunza na kuiga namna Mtume (s.a.w) alivyoishi na wake zake ili kuzijenga familia katika uislamu wa kweli, pia imezungumzia hatari ya kuvuka mipaka na kuipotosha jamii.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya mke wa Mtume (s.a.w) bi Aisha bint Abubakar (r.a) ambaye alisifika na sifa ya ujuzi (elimu), pia imezungumzia ubora na nafasi ya bi Aisha (r.a) katika uislamu.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya mke wa Mtume (s.a.w) bi Safia bint Huyay (r.a) ambaye ni mwanamke aliyesifika na sifa ya ukweli, pia imezungumzia mafundisho yanayopatika kutoka katika nyumba ya Mtume (s.a.w).
- Kiswahili
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya mke wa Mtume (s.a.w) Ummu Habiba Ramla bint Abi Sufiyan (r.a), na ukubwa wa imani na msimamo aliokuwa nao, pia imezungumzia sifa walizo kuwa nazo wake wa Mtume (s.a.w).
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya mke wa Mtume (s.a.w) Zainab bint Jahshi (r.a), na sababu za kuolewa kwanza na Zaid bin Haritha (r.a), pia imezungumzia sababu ya Mtume (s.a.w) kumuoa Zainab bint Jahshi.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Nafasi ya bi Khadija (r.a) katika Uislamu na umuhimu kwa wanawake wa kiislamu kumuiga bi Khadija (r.a), pia imezungumzia ucha Mungu na uadilifu aliokuanao bi Khadija, na athari aliyoacha baada kufa.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Wanawake katika nyumba ya Mtume (s.a.w) na imeanza na historia fupi ya bi Khadija (r.a), pia imezungumzia mwanzo wa wahyi (ufunuo) kumshukia Mtume (s.a.w).
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya sita na yasaba, kuhusu na najsi ya mbwa, kisha amebainisha mbwa anaefaa kufugwa, kisha akabainisha namna ya kusafisha najsi ya mbwa, na akasema kuwa hadithi ya sita na ya saba zinabainisha kuwa mbwa ni najsi.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya sita, amebainisha kauli za wanachuoni kuhusu najsi ya mbwa, kisha akabainisha uwajibu wa kutumia mchanga katika kuosha najsi, kisha akabainisha faida katika hadithi hii: kwamba najsi ya mbwa na nguruwe ni najsi nzito, mbwa akilamba katia chombo kinakuwa najsi.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya tano ameleza faida za hadithi ikiwemo, kujuzu kujitwaharisha katika maji yanayo tembea na inajuzu kukidhi haja katika maji yanayo tembea kwa dharura. Kisha amebainisha hadithi ya sita inayo zungumzia namna ya kuosha chombo kilicho lambwa na mbwa na nguruwe kisha ametaja taratibu za kufuga mbwa.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya tano na amebainisha upotovu wa rai ya dhwahiriya katika hadithi hii, kisha amebainisha faida za hadithi hii ikiwemo: makatazo ya kukojoa katika maji yalio tuwama, na kwamba Uislam unalinda mazingira, uislam unapiga vita uchafuzi wa mazingira, na usafi nikatika imani.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya tano ambayo imeelezea makatazo ya kuoga katika maji yalio tuwama mahala pamoja, kisha akabainisha maana ya maneno ya hadithi na tafsiri ya hadithi kisha akafafanua kuhusu upokezi wa hadithi hii.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya nne, ameeleza maana ya hadithi kwa jumla, kisha akabainisha faida za hadithi: kwamba inafaa kupandisha maji puani na kuyatoa, na nisheria kuosha mikono miwili baada ya kuamka usingizini, aliye lala bila kuambatanisha makalio yake anatakiwa atawadhe upya.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: umuhimu wa kutawadha vizuri, na uhatari wa kuharakisha kutia udhu, kisha amewahusia watu waoshe viungo vizuri wakati wa kutawadha, katika hadithi: Udhu ni katika matendo mema, miguu inaoshwa katika kutawadha, mwenye kuacha mabaka katika kutawadha ataadhibiwa.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya tatu, amebainisha daraja ya hadithi hiyo na akafafanua baadhi ya maneno katika hadithi kama vile (waylu) na (aqaab).
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: umuhimu wa kujifunza mambo ya muhimu katika udhu kabla ya kuswali, kisha akataja faida zinazo tokana na hadithi: swala ya mwenye hadathi haikubaliwi, hadadhi ni katika vitenguzi vya udhu…