- The Noble Quran
- Sunnah of Prophet Muhammad
- Islamic Creed
- Tawhid (Monotheism)
- Worship
- Islam
- Imān (Faith)
- Matters of Faith
- Benevolence
- Disbelief (Infidelity)
- Hypocrisy
- Shirk (Polytheism)
- Religious Innovation: Types and Examples
- Companions and Family of Prophet Muhammad
- Tawassul (Solicitation)
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jinn
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahl-us-Sunnah wa al-Jama‘ah
- Doctrines and Religions
- Sects
- Attributed Sects to Islam
- Contemporary Ideological Doctrines
- Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Purification and its Rulings
- Prayer
- Rulings of Funeral
- Zakah
- Fasting
- Pilgrimage and Umrah
- Friday Sermon
- Prayer of the Sick
- Prayer of the Traveler
- Prayer during Fear
- Transactions
- Oaths and Vows
- Family
- Marriage
- Divorce
- Recommended and Disliked Divorce
- Revocable and Irrevocable Divorce
- Woman’s Waiting Period
- Li‘ān (Husband Swearing His Wife Had Intercourse with Another Man)
- Zihār (Likening One’s Wife to His Mother; To Prevent Her On Himself)
- ilā’ (Swearing Not to Intercourse with One's Wife)
- Wife Seeking Divorce
- Taking back One's Divorced Wife
- Breastfeeding
- Child's Custody
- Alimony
- Clothes and Adornment
- Entertainment
- Muslim Society
- Youth Affairs
- Women Affairs
- Children Affairs
- Medicine and Treatment and Islamic Faith-Healing
- Foods and Drinks
- Islamic Criminal Law
- Judiciary System in Islam
- Jihad
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqh of Minorities
- Islamic Policy
- Schools of Islamic Jurisprudence
- Fatāwa (Fatwas)
- Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Books on Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Virtues/Noble Characteristics
- Arabic Language
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Softening Hearts Reminders
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Current State of Calling to Allah's Religion
Video
Idadi ya Vipengele: 1121
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya pili na amenukuu maneno ya shekh Albassam katika kufafanua maana ya hadithi, kisha amebainisha hukumu za hadithi kisha akasisitiza uwajibu wa kutawadha vizuri.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Maana ya hadithi kwa ujumla kisha historia fupi ya Swahaba Abuu Hurayra, kisha akabainisha maana ya kauli ya Mtume (s.a.w): (hakubali) katika hadithi, kisha akaweka wazi tofauti baina ya hadath na najsi.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: marejeo mafupi ya hadithi iliyo tangulia kisha akaanza kufafanua hadithi ya pili katika hadithi za kitabu cha Umdatul Ahkam..
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: rai za wanachuoni kuhusiana na hadithi ya Omar bin khatwab, na kwamba hadithi hii ni msingi katika misingi ya kisheria, na kwamba ni nusu ya elimu.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya kwanza kazungumzia maana ya matendo, akaeleza tofauti baina ya niya na kuazimia, kisha akaeleza kusudio la kuhama katika uislam.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: maana ya kuhama na kwamba niya inaweza kubadilisha matendo kisha akasema kuwa hadithi ya niya ni nusu ya elimu.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: mlango wa kwanza katika kitabu cha Umdatul Ahkam, kisha akabainisha maana ya twahara, kisha akaanza kusherehesha hadithi yakwanza na kutaja historia fupi ya maisha ya Omar bin Khatwab kwa ufupi (r.a).
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Jinsi zilivyo kusanywa hadithi, kisha amebainisha namna ya kusherehesha hadithi ikiwemo kusoma hadithi kisha kufafanua maneno ya kiarabu kisha kubainisha faida zilizo patiana katika hadithi.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: maana ya Bismilahi aliyo iandika mtunzi wa kitabu kabla hajaanza kuzungumzia mlango wa twahara, na sababu ya kuanza na bismilahi kisha akazungumzia umuhimu wa kuanza na bismilahi katika kila jambo.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: riwaya ya Imamu shafy kwamba asiye tumia hadithi za Mtume (s.a.w) ni sawa na mkristo, kisha ametaja uwajibu wa kuwachukia wanao kanusha maneno ya Mtume (s.a.w) kisha akataja dalili za kiakili zinazo thibitisha kuwepo kwa hadithi za Mtume (s.a.w).
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Itikadi mbaya za wanao pinga hadithi za Mtume (s.a.w) na kwamba wanao pinga hadithi za mtume (s.a.w) ni Mazindiq na ni Mashia, kisha akazungumzia kwa ufupi kuhusu itikadi zao chafu.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Uchafu wa wenye kupinga hadithi za mtume (s.a.w) kisha amenukuu maneno ya Imamu Suyutwiy ambayo yamebainisha hukumu ya mwenye kukanusha hadithi za Mtume (s.a.w) kuwa ni kafiri.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: njia za kuifanyia kazi Qur’an kupitia matendo ya Mtume (s.a.w) kisha amebainisha baadhi ya vitabu ambavyo vina warudi wenye kupinga hadithi za Mtume (s.a.w).
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Umuhimu wa elimu ya hadithi, kisha amebainisha kwamba asiye amini kuwa hadithi ni hoja basi atakuwa adui wa uislam, kisha amebainisha maana ya kumtii mtume (s.a.w)
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Wadhfa wa Hadithi za Mtume (s.a.w) na kwamba zinaweka wazi na kufafanua namna ya utekelezaji wa amri za Qur’an tukufu, pia amezungumza maneno ya Imamu Suyutwi kuhusu cheo cha hadithi za mtume(s.a.w).
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Utangulizi wa mtunzi pia amezungumzia Umuhimu wa elim ya hadithi, na maana ya hadithi, na cheo cha Quraan na Sunnah pia amewarudi wenye kuzipinga Hadithi.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Historia fupi ya mwandishi wa kitabu hiki cha umdatul ahkami, Shekh Abdul Ghany Al Maqisy Allah amrehemu, na umuhim wa kuifanyia kazi elim.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Sababu za mwanamke kuwa na kiburi katika nyumba, pia imezungumzia hatari kwa mwanamke mwenyekutaka kuwa juu ya mumewe ndani ya ndoa.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa mwanamke kutulia nyumbani kwake na kujiepusha na marafiki waovu, pia imezungumzia hatari ya maasi.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Utulivu katika ndoa hauwezi kupatika mpaka mume na mke wawe watu wema, pia imezungumzia umuhimu wa mwanamke kujitahidi kumtii na kumridhisha mumewe.