- Classification Tree
- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed
- Tauhidi
- Ibada
- Uislamu
- Imani
- Mambo ya Imani
- Ihsani (Wema)
- Ukafiri
- Unaafiki
- Shirki
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- Kumuomba Allah kwa kupitia kitu fulani
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
- Fiqhi
- Ibada
- Twahara
- Prayer
- Jeneza
- Zaka
- Swaumu
- Hijja na Umra
- Hukumu za Hutuba ya Ijumaa
- Sala ya Mgonjwa
- Sala ya Msafiri
- Swala ya Vitani
- Transactions
- Viapo na Nadhiri
- Familia
- Tiba ya kutumia dawa na Ruqya ya kisheria
- Vyakula na vinywaji
- Makosa ya jinai
- Judiciary System in Islam
- Jihadi
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqhi ya sehemu ambayo waislamu ni wachache
- Siasa ya kisheria
- Madhehebu ya kifiqhi
- Fataawa
- Msingi wa Fiqhi
- Books on Islamic Jurisprudence
- Ibada
- Ubora
- Ubora wa Ibada
- Ubora wa Tabia
- Adabu mbali mbali
- General Islamic Etiquette
- Adabu za salamu
- Adabu za Barabarani na Sokoni
- Adabu za kula na kunywa
- Etiquette of Hospitality
- Etiquette of Visiting People
- Adabu za kutoa Chafya
- Etiquette of Market
- Etiquette of Yawning
- Adabu za kumtembelea Mtu na namna ya kubisha hodi
- Adabu za kuvaa mavazi
- Adabu za kumtembelea Mgonjwa
- Adabu za kulala na kuamka
- Ndoto
- Adabu ya Mazungumzo
- Adabu ya Safari
- Adabu ya Muskiti
- Adabu za Ndoto
- General Islamic Etiquette
- Dua mbali mbali
- Major Sins and Prohibitions
- Arabic Language
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Mawaidha yanayo vunja moyo
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Da’wa namna ilivyo kwa sasa
- The Importance of Calling to Allah
- History
- Islamic Culture
- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
- Khutba za mimbar
- Academic lessons
- General Public of Muslims
- Books on Islamic Creed
- Elimu
- Islamic Knowledge Source Texts
- Source Texts of Quran's Interpretation
- Source Texts of Quran's Recitations and Reciting Rules
- Source Texts of Islamic Creed
- Source Texts of Prophetic Sunnah
- Source Texts of Arabic Grammar
- Source Texts of Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Source Texts of Islamic Jurisprudence
- Audio Books and Source Texts
- Seekers of Knowledge
- Seekers of Knowledge (Beginners)
- The Prophetic Biography
- Introducing Islam to Muslims
- Introducing Islam to non-Muslims
- A Guidance for the Worlds
Video
Idadi ya Vipengele: 1153
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: maana ya Bismilahi aliyo iandika mtunzi wa kitabu kabla hajaanza kuzungumzia mlango wa twahara, na sababu ya kuanza na bismilahi kisha akazungumzia umuhimu wa kuanza na bismilahi katika kila jambo.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: riwaya ya Imamu shafy kwamba asiye tumia hadithi za Mtume (s.a.w) ni sawa na mkristo, kisha ametaja uwajibu wa kuwachukia wanao kanusha maneno ya Mtume (s.a.w) kisha akataja dalili za kiakili zinazo thibitisha kuwepo kwa hadithi za Mtume (s.a.w).
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Itikadi mbaya za wanao pinga hadithi za Mtume (s.a.w) na kwamba wanao pinga hadithi za mtume (s.a.w) ni Mazindiq na ni Mashia, kisha akazungumzia kwa ufupi kuhusu itikadi zao chafu.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Uchafu wa wenye kupinga hadithi za mtume (s.a.w) kisha amenukuu maneno ya Imamu Suyutwiy ambayo yamebainisha hukumu ya mwenye kukanusha hadithi za Mtume (s.a.w) kuwa ni kafiri.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: njia za kuifanyia kazi Qur’an kupitia matendo ya Mtume (s.a.w) kisha amebainisha baadhi ya vitabu ambavyo vina warudi wenye kupinga hadithi za Mtume (s.a.w).
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Umuhimu wa elimu ya hadithi, kisha amebainisha kwamba asiye amini kuwa hadithi ni hoja basi atakuwa adui wa uislam, kisha amebainisha maana ya kumtii mtume (s.a.w)
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Wadhfa wa Hadithi za Mtume (s.a.w) na kwamba zinaweka wazi na kufafanua namna ya utekelezaji wa amri za Qur’an tukufu, pia amezungumza maneno ya Imamu Suyutwi kuhusu cheo cha hadithi za mtume(s.a.w).
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Utangulizi wa mtunzi pia amezungumzia Umuhimu wa elim ya hadithi, na maana ya hadithi, na cheo cha Quraan na Sunnah pia amewarudi wenye kuzipinga Hadithi.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Shekh anazungumzia: Historia fupi ya mwandishi wa kitabu hiki cha umdatul ahkami, Shekh Abdul Ghany Al Maqisy Allah amrehemu, na umuhim wa kuifanyia kazi elim.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Sababu za mwanamke kuwa na kiburi katika nyumba, pia imezungumzia hatari kwa mwanamke mwenyekutaka kuwa juu ya mumewe ndani ya ndoa.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa mwanamke kutulia nyumbani kwake na kujiepusha na marafiki waovu, pia imezungumzia hatari ya maasi.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Utulivu katika ndoa hauwezi kupatika mpaka mume na mke wawe watu wema, pia imezungumzia umuhimu wa mwanamke kujitahidi kumtii na kumridhisha mumewe.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Tofauti kati ya wanawake wanaojua majukumu yao na wasiojua, pia imezungumzia hatari ya mwanamke asiyetulia nyumbani kwake mzurulaji
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa mwanamke kujiepusha na uvivu pamoja na kujitahidi kuamka mapema na kushughulika na taratibu za nyumba yake
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Hatari ya mume kumdhalilisha na kumtukana mke na kwamba ni muhimu kuchunga mipaka na kumfanyia mazuri mke, pia imezungumzia ubora wa kujiepusha na kuangalia vitu visivyo halali yako.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayoleta utamu katika ndoa ni mwanaume kumshukuru mkewe kwa yale mazuri anayomfanyia, pia imezungumzia umuhimu wa wana ndoa kuwa na subra na uvumilivu.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayoleta utamu katika ndoa ni wana ndoa kusitiriana kutokana na mapungufu pamoja na kusifiana katika mazuri, pia imezungumzia umuhimu wa kuombana msamaha.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa utamu wa ndoa ni mwanamke kujipamba na tabasam pamoja na kumkumbusha mumewe mara kwa mara katika kutafuta rizki ya halali, na ayafanye hayo kwa ikhlas ili kupata radhi za Allah.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa tabia nzuri kwa mwanamume ndani ya nyumba, pia imezungumzia umuhimu wa mwanaume kuweka muda maalum kwa ajili ya kukaa nakujumuika na familia yake.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani Muhina Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Usimamizi wa mwanaume juu ya mwanamke na ubora wa kuisoma ndoa kabla ya kuoa au kuolewa, pia imezungumzia umuhimu wa kumuiga Mtume (s.a.w) katika kutekeleza majukumu ya ndoa.