- Classification Tree
- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed
- Tauhidi
- Ibada
- Uislamu
- Imani
- Mambo ya Imani
- Ihsani (Wema)
- Ukafiri
- Unaafiki
- Shirki
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- Kumuomba Allah kwa kupitia kitu fulani
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
- Fiqhi
- Ibada
- Twahara
- Prayer
- Jeneza
- Zaka
- Swaumu
- Hijja na Umra
- Hukumu za Hutuba ya Ijumaa
- Sala ya Mgonjwa
- Sala ya Msafiri
- Swala ya Vitani
- Transactions
- Viapo na Nadhiri
- Familia
- Tiba ya kutumia dawa na Ruqya ya kisheria
- Vyakula na vinywaji
- Makosa ya jinai
- Judiciary System in Islam
- Jihadi
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqhi ya sehemu ambayo waislamu ni wachache
- Siasa ya kisheria
- Madhehebu ya kifiqhi
- Fataawa
- Msingi wa Fiqhi
- Books on Islamic Jurisprudence
- Ibada
- Ubora
- Ubora wa Ibada
- Ubora wa Tabia
- Adabu mbali mbali
- General Islamic Etiquette
- Adabu za salamu
- Adabu za Barabarani na Sokoni
- Adabu za kula na kunywa
- Etiquette of Hospitality
- Etiquette of Visiting People
- Adabu za kutoa Chafya
- Etiquette of Market
- Etiquette of Yawning
- Adabu za kumtembelea Mtu na namna ya kubisha hodi
- Adabu za kuvaa mavazi
- Adabu za kumtembelea Mgonjwa
- Adabu za kulala na kuamka
- Ndoto
- Adabu ya Mazungumzo
- Adabu ya Safari
- Adabu ya Muskiti
- Adabu za Ndoto
- General Islamic Etiquette
- Dua mbali mbali
- Major Sins and Prohibitions
- Arabic Language
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Mawaidha yanayo vunja moyo
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Da’wa namna ilivyo kwa sasa
- The Importance of Calling to Allah
- History
- Islamic Culture
- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
- Khutba za mimbar
- Academic lessons
- General Public of Muslims
- Books on Islamic Creed
- Elimu
- Islamic Knowledge Source Texts
- Source Texts of Quran's Interpretation
- Source Texts of Quran's Recitations and Reciting Rules
- Source Texts of Islamic Creed
- Source Texts of Prophetic Sunnah
- Source Texts of Arabic Grammar
- Source Texts of Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Source Texts of Islamic Jurisprudence
- Audio Books and Source Texts
- Seekers of Knowledge
- Seekers of Knowledge (Beginners)
- The Prophetic Biography
- Introducing Islam to Muslims
- Introducing Islam to non-Muslims
Audios
Idadi ya Vipengele: 248
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Uzushi wa Shahada ya tatu katika Adhana ya Mashia, nakwamba hakuna hata riwaya dhaifu inayo thibitisha shahada hiyo.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inafafanua: Namna ya kufanya kwa mtu anaetaka kuacha Ushia, pia inafanua mambo mbalimbali kuhusu mashia na itikadi mbovu walizonazo.
- Kiswahili Mhadhiri : Abdurahmani bin Abdallah Al-Suhaym Tafsiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kufanya bidii katika kutafuta elimu, na kuutumia wakati katika kujisomea fani tofauti, na kuto tosheka na masomo ya darasani.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa swala ya jamaa na ubora wa kwenda msikitini kabla ya Adhana.
- Kiswahili
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Anuwani ya mada hii ni Misingi ya da’awa ya kweli, pia inazungumzia: Umuhimu wa elimu na maoni ya watu katika kutengeneza umma wa kiislam.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Daraja za jihadi, ni wakati gani jihadi inakuwa ni lazima, vievile inazungumzia maneno ya wanachuoni kuhusu jihadi.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Anuwani ya mada hii ni: Hijabu ya kisheria na Nasaha kwa wanawake.shekh amezungumzia Sharti za Hijabu,na umuhimu wa kushikamana na dini kwa wakina mama.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia msimamo wa Uislam kuhusu kuhusu kupigana Jihadi katika njia ya Allah, na upambanuzi wake, na tatizo la waislam wengi kuto fatilia mambo kwa kina, na madhara ya Hamasa.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia aina za jihadi,akasema shekh kuwa jihadi ina aina mbili :Jihadiya kujitetea, na Jihadi ya ilio tangazwa na Kiongozi.
- Kiswahili Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazunguzia namna dunia ilivyo uchanganya umma wa kiislam.
- Kiswahili Mhadhiri : Husseni Saidi Sembe Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii nazungumzia ubora wa elim ya sheria ya Dini ya kiislam, na umuhim kusoma elim nyingine.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
1. Mada hii inazungumzia adabu za dua na masharti ya kujibiwa dua na jinsi alivyokuwa akiomba mtume -swala Allah alayhi wasalama- wakati wa kufungua swaumu na baada ya kufungua swaumu. 2. Mada hii inazungumzia adabu za dua yakiwemo mambo ambayo hutakiwi kumuomba Allah,na umuhimu wakumuombeya nduguyako moyoni. 3. Mada hii inazungumzia adabu za dua na nyakati muhimu za kujibiwa dua. 4. Mada hii inazungumzia adabu za dua nambo anayotakiwa kuyafanya mwenya kuomba dua. 5. Mada hii inazungumzia adabu za dua yakiwemo mambo yanayo ziwiya dua kujibiwa.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia uzushi katika dini athari zake na hukumuzake.
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Qahtwani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii imezungumzia vita baina ya waislam na makafiri,na jinsi alivyo pigana mtume rehma na amani ziwe juu yake na msimamo wa mtuma kwa viongozi wa kiquraish.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Darasa hili linazungumzia hukumu ya kujitwaharisha na umuhimu wake,na athari za kuto kujuwa jinsi ya kujitwahara.
- Kiswahili Mhadhiri : Nasoro Abdallah Bachu Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia ubora wa elimu ya kisheria na utukufu wa mwenye kujifunza elimu huyo.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia bidaa ya kusherehekea maulidi, madahii inazungumzia asili ya maulidi, maana yake, hukumu ya maulidi, historia ya maulidi, na mwanzo wa maulidi, africa mashariki.
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Barahiyan Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia umuhimu wa kuamrishana mema na kukataza mabaya na nisababu ya kufanywa ummat muhammad kuwa bora na nisifa ya mtume (s.a.w)pia nisifa ya manabi wa allah (alayhimu ssalam).
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Barahiyan Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia hukumu ya kuishi katika miji ya kikafiri na mwongozo kamili kuhusu mambo yanayo takiwa kuyafanya mwislam.