Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Books of Prophetic Tradition

Idadi ya Vipengele: 1

  • Kiswahili

    PDF

    Kitabu Riyaadhu Swalihin kimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili, kimeandikwa na Imam Yahya Bin sharaf An Nawawy kutoka Damaskas, amekusanya katika kitabu hiki hadithi sahiihi za mtume Muhamad rehma na amani ziwe juu yake, na hadithi zimeeleza mambo yote ya itikadi, na maisha ,amezileta hadithi kwa mpangilio wa milango na vifungu, ili mada zake ziwe nyepesi kwa msomaji, na apate faida.

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1