- The Noble Quran
- Sunnah of Prophet Muhammad
- Islamic Creed
- Tawhid (Monotheism)
- Worship
- Islam
- Imān (Faith)
- Matters of Faith
- Benevolence
- Disbelief (Infidelity)
- Hypocrisy
- Shirk (Polytheism)
- Religious Innovation: Types and Examples
- Companions and Family of Prophet Muhammad
- Tawassul (Solicitation)
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jinn
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahl-us-Sunnah wa al-Jama‘ah
- Doctrines and Religions
- Sects
- Attributed Sects to Islam
- Contemporary Ideological Doctrines
- Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Purification and its Rulings
- Prayer
- Rulings of Funeral
- Zakah
- Fasting
- Pilgrimage and Umrah
- Friday Sermon
- Prayer of the Sick
- Prayer of the Traveler
- Prayer during Fear
- Transactions
- Oaths and Vows
- Family
- Marriage
- Divorce
- Recommended and Disliked Divorce
- Revocable and Irrevocable Divorce
- Woman’s Waiting Period
- Li‘ān (Husband Swearing His Wife Had Intercourse with Another Man)
- Zihār (Likening One’s Wife to His Mother; To Prevent Her On Himself)
- ilā’ (Swearing Not to Intercourse with One's Wife)
- Wife Seeking Divorce
- Taking back One's Divorced Wife
- Breastfeeding
- Child's Custody
- Alimony
- Clothes and Adornment
- Entertainment
- Muslim Society
- Youth Affairs
- Women Affairs
- Children Affairs
- Medicine and Treatment and Islamic Faith-Healing
- Foods and Drinks
- Islamic Criminal Law
- Judiciary System in Islam
- Jihad
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqh of Minorities
- Islamic Policy
- Schools of Islamic Jurisprudence
- Fatāwa (Fatwas)
- Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Books on Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Virtues/Noble Characteristics
- Arabic Language
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Softening Hearts Reminders
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Current State of Calling to Allah's Religion
Prayer
Idadi ya Vipengele: 171
- Kiswahili
- Kiswahili
- Kiswahili
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuadhini katika mazingira yoyote, pia imezungumzia ubora kukubali na kufuata haki.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Mwenye kutoa Adhana anaombewa msamaha na kila chenye kusikia Adhana hiyo, pia imeelezea mitihani wanayopata waadhini wa zama hizi.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Ubora wa Adhana na malipo anayopata Muadhini, pia imeelezea umuhimu wa kwenda mapema msikitini.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Adabu na utaratibu wa kuelekea katika swala, pia imeelezea umuhimu na ubora wa safu ya mbele kwa mwanaume.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sharti za swala ni kuondoa najisi na kuelekea qibla, pia imeelezea umuhimu wa kusafisha nia katika ibada.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sharti za swala ni kusitiri utupu (uchi), pia imeelezea umuhimu wa kuchunga mavazi ndani na nje ya swala.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa shariti za swala ni kuingia kwa wakati, pia imezungumzia nyakati za swala na namna ya kuhifadhi swala.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Tofauti ya kuadhini na kukiqim swala, pia imeelezea umuhimu wa kuzijua sharti za swala ili kuswali kama inavyotakiwa.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Namna ya kuadhini kisunna na utaratibu wake, pia imeelezea bid’aa zinazozushwa ndani ya adhana.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa swala na hasara ya mtu asie swali, pia imezungumzia maana ya adhana na idadi ya waadhini wa Mtume (s.a.w).
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuwaelekeza watoto na kuwafundisha dini wakiwa na umri wa miaka saba, pia imezungumzia uzito wa swala na umuhimu wa kuisimamisha katika maisha.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Maana ya swala kilugha na kisheria, pia imezungumzia umuhimu wa kusoma dini na kusimamisha swala.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya kufaradhishwa kwa swala tano, pia imezungumzia jinsi nyakati za swala tano zilivyo pangwa.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Ulazima wa swala tano juu ya kila muislamu, pia imezungumzia mambo yasiyofaa katika swala.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Kutayamamu na ni wakati gani mtu anatakiwa kutayamamu, pia imezungumzia mambo yanayo tengua tayamamu.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Namna ya kupaka maji juu ya khofu, sox, piopio na bandeji wakati wa kutawadha, pia imezungumzia sharti za kupaka.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Mambo muhimu kwa muislamu kuyajua ambayo ni Sharti za udhu, faradhi za udhu na Sunna za udhu.