Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Youth Affairs

Idadi ya Vipengele: 2

  • Kiswahili

    MP3

    1- Mada hii inazungumzia: Nafasi ya vijana katika uislam, na neema ya ujana, na kila kijana ataulizwa siku ya qiyama, pia amezungumzia uwajibu wa vijana kuutumia ujana wao katika kufanya ibada, kama kusimamisha Swala, Funga na Hijja, ili kupata radhi za Allah. 2- Mada hii inazungumzia: Vijana ni hazina kubwa katika uislam tangu zamani, nakwamba vijana ndio wenye uwezo wa kuvumilia mashaka na misukosuko, pia imezungumzia umuhimu wa vijana kujipamba na tabia njema.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Nurdin Kishki Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazunguzia Matatizo ya vijana wa kiislam na tiba yake.

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1