Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Related Issues to Prophet of Islam

Idadi ya Vipengele: 52

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miujiza ya mtume (s.a.w) ikiwemo na miujiza ya kulindwa na maadui, pia amezungumzia muujiza wa mtume na Abu Jahli pia mujiza wa mtume na Suraqatu Bi Maliki.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miujiza ya mtume (s.a.w) ameanza kuzungumzia nafasi ya ukweli na uaminifu na umuhimu wa kutekeleza ahadi, pia ameeleza kisa cha safari ya nabii Issa na kijana wake, kisha akamalizia kwa kutaja mujiza wa mtume katika nyama yenye sumu aliyo kula.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea wakati akila chakula na Maswahaba wake na chakula kile kikawa kinamtaja Allah, pia imezungumzia muujiza wa mbwa mwitu kutoa habari za Mtume Muhammad (s.a.w) kwa mchunga mbuzi.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotekea wakati wa kukidhi haja katika jangwa la Afiyah, pia imezungumzia muujiza ambao jiwe lilikua likimtolea salam Mtume (s.a.w) kabla ya kupewa utume.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni mti kushuhudia kuwa Allah ni mmoja na Muhammad (s.a.w) ni Mtume wa Allah mbele ya Bedui (Mwarabu wa mashambani), pia imezungumzia vitimbi alivyofanyiwa Mtume (s.a.w).

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea kwa Abuu Ayyubul-Answar (r.a), pia imezungumzia kwa ufupi historia ya vita vilivyoteka Tabuki, na muujiza wa Mtume (s.a.w) uliotokea katika vita hivyo.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kukithirisha chakula yaani chakula kidogo kukifanya kingi, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) wa kukithirisha chakula uliotokea kwa Swahaba Abuu Twalha na Jabir (r.a).

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia:, ufafanuzi wa muujiza uliotokea katika sulhul-hudeybia, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) wa kutemea mate katika kisima kilichokuwa kime kauka maji na maji yakajaa.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ndani ya Qur’an aliyopewa Mtume (s.a.w) ni muujiza wa kupasuka mwezi, pia imezungumzia miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kulizuia jua, na kutoa maji katika vidole vyake Mtume (s.a.w).

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza aliopewa Mtume (s.a.w) ni muujiza wa Qur’an tukufu ambao unaitwa muujiza mkubwa, pia imezungumzia miujiza iliyomo ndani ya Qur’an, na namna makafiri walivyoshindwa kuleta mfano wa Qur’an.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miujiza ni kwa Mitume wa Mwenyezi Mungu na imebainisha tofauti kati ya karama na uchawi, na kwamba karama inakua kwa mtu mwema na uchawi ni kwa mtu muovu, pia inazungumzia miongoni mwa dalili za miujiza.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miujiza ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na imebainisha tofauti kati ya miujiza ya Manabii waliopita na miujiza ya Mtume Muhammad (s.a.w), pia imezungumzia tofauti kati ya muujiza na karama, na sababu ya Mitume kupewa miujiza.