Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Introducing Islam

Idadi ya Vipengele: 4

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii Inaelezea kuwa Uislam ndio dini ya haki na kwamba hataingia peponi ispokuwa mwislam, kisha ikabainisha kuwa Uislam ndio njia ya kuingia peponi.

  • Kiswahili

    MP4

    UISILAMU NI DINI YA MITUME

  • Kiswahili

    MP4

    Nani alie ni umba ? Na kwa nini ?. Maudhui zilizondani: 1. Maana ya Uisilamu. 2. Misingi mikuu ya Uisilamu:         - Kumuamini Allah Muumba wa kila kitu.         - Kuamini Mitume wote.         - Kuamini Vitabu vitukufu vyote.         - Kuamini Malaika.         - Kuamini Siku ya mwisho.         - Kuamini Kadari ya heri na ya shari. 3. Imani ya Uisilamu juu ya Isa mwana wa Maryamu. 4. Uisilamu si wa tabaka la watu maalumu, bali ni wa kila mtu. 5. Je kusilimu ni hiyari yake mtu? 6. Kusilimu ni vipi?

  • Kiswahili

    MP4

    Umegundua uzuri wake wa kweli

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1