Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Supplications

Idadi ya Vipengele: 4

  • Kiswahili

    MP3

    1. Mada hii inazungumzia adabu za dua na masharti ya kujibiwa dua na jinsi alivyokuwa akiomba mtume -swala Allah alayhi wasalama- wakati wa kufungua swaumu na baada ya kufungua swaumu. 2. Mada hii inazungumzia adabu za dua yakiwemo mambo ambayo hutakiwi kumuomba Allah,na umuhimu wakumuombeya nduguyako moyoni. 3. Mada hii inazungumzia adabu za dua na nyakati muhimu za kujibiwa dua. 4. Mada hii inazungumzia adabu za dua nambo anayotakiwa kuyafanya mwenya kuomba dua. 5. Mada hii inazungumzia adabu za dua yakiwemo mambo yanayo ziwiya dua kujibiwa.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia saa ya kujibiwa dua ambayo inapatikana siku ya ijumaa, amebainisha wakati huo, na pindi mtu anaposhtuka usingizini akiwa amelala na udhu, na baina ya Adhuhuri na Asri siku ya ijuma tano

  • Kiswahili

    MP3

    1- Mada hii inazunguzia ubora wa kumtaja Allah na umuhimu wa kula kwa mkono wa kulia 2- Mada hii inazunguzia ubora wa kufanya dhikri Na malipo ya mwenye kufanya Dhikri. 3- Mada hii inazunguzia ubora wa kufanya dhikri kama alivyotufundisha Mtume (S.a.w) 4- Mada hii inazunguzia ubora wa kumtaja Allah, na asiyemtaja Allah ni sawa na mtu aliyekufa (Maiti)

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia tafsiri ya suratul qadri na kueleza ibada kubwa aliyokuwa akifanya mtume (s.a.w)na fadhila za kusimama kuitafuta laylatul qadri,na yanayo semwa katika usiku wa laylatul qadri.

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1