- The Noble Quran
- Sunnah of Prophet Muhammad
- Islamic Creed
- Tawhid (Monotheism)
- Worship
- Islam
- Imān (Faith)
- Matters of Faith
- Benevolence
- Disbelief (Infidelity)
- Hypocrisy
- Shirk (Polytheism)
- Religious Innovation: Types and Examples
- Companions and Family of Prophet Muhammad
- Tawassul (Solicitation)
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jinn
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahl-us-Sunnah wa al-Jama‘ah
- Doctrines and Religions
- Sects
- Attributed Sects to Islam
- Contemporary Ideological Doctrines
- Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Purification and its Rulings
- Prayer
- Rulings of Funeral
- Zakah
- Fasting
- Pilgrimage and Umrah
- Friday Sermon
- Prayer of the Sick
- Prayer of the Traveler
- Prayer during Fear
- Transactions
- Oaths and Vows
- Family
- Marriage
- Divorce
- Recommended and Disliked Divorce
- Revocable and Irrevocable Divorce
- Woman’s Waiting Period
- Li‘ān (Husband Swearing His Wife Had Intercourse with Another Man)
- Zihār (Likening One’s Wife to His Mother; To Prevent Her On Himself)
- ilā’ (Swearing Not to Intercourse with One's Wife)
- Wife Seeking Divorce
- Taking back One's Divorced Wife
- Breastfeeding
- Child's Custody
- Alimony
- Clothes and Adornment
- Entertainment
- Muslim Society
- Youth Affairs
- Women Affairs
- Children Affairs
- Medicine and Treatment and Islamic Faith-Healing
- Foods and Drinks
- Islamic Criminal Law
- Judiciary System in Islam
- Jihad
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqh of Minorities
- Islamic Policy
- Schools of Islamic Jurisprudence
- Fatāwa (Fatwas)
- Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Books on Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Virtues/Noble Characteristics
- Arabic Language
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Softening Hearts Reminders
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Current State of Calling to Allah's Religion
How to Pray
Idadi ya Vipengele: 113
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Kutawadha baada ya kula nyama ya ngamia, pia imezungumzia baadhi ya mambo yanayo tengua udhu.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Mtu kuwa na mashaka (wasiwasi) wakati wa kutawadha, pia imezungumzia namna ya kuondoa shaka na wasiwasi.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Aina za udhu pia imefafanua juu ya kuswali swala tofauti kwa udhu mmoja au kutawadha kila swala.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kutumia maji machache na kujiepusha na israfu wakati wa kutawadha, na kwamba maji ni neema kutoka kwa Allah.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kupiga mswaki kabla ya kutawadha, pia imezungumzia adabu za kiislam katika kila jambo.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Utaratibu sahihi wa kutawadha tangu kuandaa maji mpaka kumaliza kutawadha miguu miwili kama alivyofanya Mtume (s.a.w).
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Muendelezo wa fadhila za udhu na uwajibu wa kueneza udhu katika viungo, pia imezungumzia unyenyekevu katika swala.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Muendelezo wa fadhila za udhu na umuhimu wa kusoma na kujua alivyotawadha Mtume (s.a.w), pia imezungumzia ubora wa rakaa mbili Sunnat Al-wudhuu.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Fadhila za udhu na daraja anayopata mtu aliyetawadha kisha akatembea kuelekea msikitini, na kwamba udhu ndio ufunguo wa swala.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia hukumu za swala,na hukumu za kusoma Alfatha,na jinsi ya kusoma katika swala,na viungo vinavyo sujudu na jinsi ya kusoma tahiyatu.na nafasi ya utulivu katika swala.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia namna ya kuswali mwanzo mpaka mwisho,na maneno yakusema wakati wa kuswali.na adhkari baada ya swala.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mrorongo wa Nyiradi na dua mbalimbali ambazo nimuhimu katika maisha ya muislam, ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mrorongo wa Nyiradi na dua mbalimbali ambazo nimuhimu katika maisha ya muislam, ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili.