Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

A Guidance for the Worlds

Idadi ya Vipengele: 11

  • Kiswahili

    PDF

    MASOMO MUHIMU KWA UMMA WOTE

  • Kiswahili

    PDF

    Mheshimiwa, Sheikh, Abdulaziz bin Baaz - Mwenyezi Mungu amrehemu - ameeleza ndani ya kitabu cha "Namna ya Swala ya Mtume, rehema na amani ziwe juu yake", kwa ufupi namna ya swala ya Mtume, rehema na amani ziwe juu yake, kwa mbinu rahisi na njia nzuri kabisa, huku akitegemea ushahidi wa kimaandiko yaliyo sahihi; ili kiwe muongozo kwa Muislamu katika swala yake. Alibainisha ndani yake nguzo za swala na sunna zake na namna yake, kuanzia wudhu mpaka kutoa salamu ya kumaliza swala, akikusanya ndani yake kati ya ushahidi na upambanuzi, akilingania watu kumuiga kikamilifu Mtume, rehema na amani ziwe juu yake katika ibada hii kubwa zaidi.

  • Kiswahili

    PDF

    NJIA ZENYE FAIDA KWA MAISHA YENYE FURAHA

  • Kiswahili

    PDF

    MFULULIZO WA MAKALA JUU YA KULINDA TAUHIDI

  • Kiswahili

    PDF

    UCHAMBUZI NA UFAFANUZI WA MASUALA MENGI YA HIJA, UMRA NA ZIARA

  • Kiswahili

    PDF

    Kijitabu "Namna ya kufanya Umrah" cha Sheikh, Abdulaziz bin Baaz, Mwenyezi Mungu amrehemu, kinaeleza ibada za Umrah kwa mtindo ulio wazi na unaoeleweka kwa urahisi; ili kitumike kama mwongozo wa kivitendo katika kusaidia Waislamu kutekeleza ibada zao za Hija au Umra kwa unyenyekevu na urahisi, kikiambatana na dua na nyiradi zilizopokelewa kutoka kwa Mtume, rehema na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, katika kila hatua.

  • Kiswahili

    PDF

    Kitabu "Mtume wa Uislamuz Muhammad, rehema na amani ziwe juu yake" kinaweka wazi maisha ya Nabii Muhammad kuanzia kwenye nasaba yake na kuoa kwake kulikobarikiwa mpaka kuanza kuteremka kwa ufunuo na kuanza kwa utume wake ambao ndio wa mwisho, na kinabainisha alama za unabii wake na alama za ukweli wake, na kinaweka wazi sheria aliyokuja nayo na nafasi yake katika kuhifadhi haki za mwanadamu na heshima yake, kama ambavyo kinaweka wazi misimamo ya mahasimu wake na kutoa kwao ushahidi wa kumuunga mkono, pamoja na kutia mwangaza juu ya tabia zake nzuri ambazo sheria imeziweka kuwa ni kiigizo kwa watu na kuwaita katika kumpwekesha Muumbaji.

  • Kiswahili

    PDF

    nullHuu ni ujumbe mfupi, uliokusanya mambo muhimu anayoyahitaji Muislamu katika fadhila za siku kumi za mwanzo wa Dhul-Hija. Tumezikusanya kwa ajili ya mwenye kutembelea Misikiti Miwili Mitukufu, mwanaume na mwanamke; ili wawe na elimu na utambuzi na mambo ya dini yao, tukitaraji kutoka kwa Mkarimu, Mwingi wa kuneemesha awanufaishe kwa ujumbe huu, na aufanye kuwa wenye kufaa, na uwe kwa ajili ya kutaka uso wake tu. Kwani, Yeye ndiye mbora wa wenye kuombwa na Mkarimu zaidi anayetarajiwa.

  • Kiswahili

    PDF

    Makala hii imebainisha maana ya Uislamu, na ni nani Muislamu, na vipi utakuwa Muislamu wa kweli, kama ilivyosheheni kwa kutaja uzuri wa Uislamu na baadhi ya adabu na tabia za hali ya juu, na nafasi ya mwanamke, na haki za ndugu wa karibu na jirani na jamii, inabainisha kuwa Uislamu unaamrisha na unaita watu kwenye kila jambo zuri, na haukatazi isipokuwa kila kilicho kibaya.

  • Kiswahili
  • Kiswahili

    PDF

    MUHAMMAD ALLAH AMREHEMA NI MTUME WA UISLAMU

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1