Msahafu ulio somwa na msomaji Shekh Ali bin Abdurahmani Alhudhayfi Pamoja na tafsiri ya Maana ya Aya kwa lugha ya kiormo, ambayo imerekodiwa kwa teknologia nakwakiwango chajuu chasauti.
Msahafu ulio somwa pamoja na Tafsiri ya maana yake kwa lugha ya Kikorea, Quraan Tukufu ilio somwa ikiwa na kisomo cha sauti cha maana ya Aya kwa ubora mkubwa kwa lugha ya kikorea.
Msahafu ulio somwa na msomaji Shekh Ali bin Abdurahmani Alhudhayfi, Nirecodi ya sauti ya msahafu ulio somwa kwa upokezi wa hafswi kutoka kwa Aswim. Nimsahafu ulio somwa na Imamu wa msi
Msahafu uliosomwa na kurecodiwa katika swala ya tarawehe mwaka 1432H kutoka katika msikiti mtukufu wa makkah,na alie swalisha watu alikuwa ni: Shekh Soud Shureim.na Shekh Abdurahmani Assud
Msahafu wa msikiti mtukufu wa Mtume madina1431H. Msahafu ulio somwa na kurecodiwa katika swala ya tarawehe katika msikiti mtukufu wa mtume Madina, mwaka 1431 H. Alie swalisha watu ni: Sh
Msahafu ulio somwa na msomaji Shekh Khalil Alhuswary,pamoja na tafsiri yake kwalugha ya lugha Bosnian,anasifika kwa sauti nzuri na imerecodiwa kwa kiwango chajuu cha sauti.
Msahafu ulio somwa na msomaji shekh Ahmed Khadr Trabelsy,kwa upokez wa Qalun kutoka kwa Naafy. Ambae anasifika kwakuwa na sauti nzuri, ambayo imerekodiwa kwa teknologia nakwakiwango chajuu c
Misahafu ya Al-Haramaini-(makkah na madina)-kwasauti ya maimamu wa makkah na madina katika swala ya tarawehe na kisimamo cha usiku katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Msahafu ulio somwa na msomaji Shekh Mishari Rashid Alafas,pamoja na tafsiri yake kwa lugha ya kingereza.tafsiri iliyo somwa na Al akh:Ibrahim wok,ambayo nitafsiri ya kimataifa,na hili nitoleo
Msahafu ulio somwa na msomaji shekh Abdallah Aly Basfar ,Ambae anasifika kwakuwa na sauti nzuri, ambayo imerekodiwa kwa teknologia nakwakiwango chajuu chasauti. Unaweza kudownload kwakiwango
Kukamilisha Alzaahirah ilio kusanya visomo kumi ambavyo vilivyo thibiti kwa usahihi:Kuhitimisha kuliko kamilika,kumekusanya ndaniyake msomaji kwa namna zote za visomo,katika visomo vyote kum
Msahafu ulio somwa kwanjiya ya (Kupunguza mada iliyo tenganishwa na neno lingine) katika swala ya Tarawehe na kisimamo kilicho recodiwa katika mji wa California United States of America, mwak
Msahafu ulio somwa na msomaji Shekh Abdurazaq Al Daylami,Ambae anasifika kwakuwa na sauti nzuri, ambayo imerekodiwa kwa teknologia nakwakiwango chajuu chasauti,na hili hitimisho limerecodiwa