- The Noble Quran
- Sunnah of Prophet Muhammad
- Islamic Creed
- Tawhid (Monotheism)
- Worship
- Islam
- Imān (Faith)
- Matters of Faith
- Benevolence
- Disbelief (Infidelity)
- Hypocrisy
- Shirk (Polytheism)
- Religious Innovation: Types and Examples
- Companions and Family of Prophet Muhammad
- Tawassul (Solicitation)
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jinn
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahl-us-Sunnah wa al-Jama‘ah
- Doctrines and Religions
- Sects
- Attributed Sects to Islam
- Contemporary Ideological Doctrines
- Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Purification and its Rulings
- Prayer
- Rulings of Funeral
- Zakah
- Fasting
- Pilgrimage and Umrah
- Friday Sermon
- Prayer of the Sick
- Prayer of the Traveler
- Prayer during Fear
- Transactions
- Oaths and Vows
- Family
- Marriage
- Divorce
- Recommended and Disliked Divorce
- Revocable and Irrevocable Divorce
- Woman’s Waiting Period
- Li‘ān (Husband Swearing His Wife Had Intercourse with Another Man)
- Zihār (Likening One’s Wife to His Mother; To Prevent Her On Himself)
- ilā’ (Swearing Not to Intercourse with One's Wife)
- Wife Seeking Divorce
- Taking back One's Divorced Wife
- Breastfeeding
- Child's Custody
- Alimony
- Clothes and Adornment
- Entertainment
- Muslim Society
- Youth Affairs
- Women Affairs
- Children Affairs
- Medicine and Treatment and Islamic Faith-Healing
- Foods and Drinks
- Islamic Criminal Law
- Judiciary System in Islam
- Jihad
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqh of Minorities
- Islamic Policy
- Schools of Islamic Jurisprudence
- Fatāwa (Fatwas)
- Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Books on Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Virtues/Noble Characteristics
- Arabic Language
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Softening Hearts Reminders
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Current State of Calling to Allah's Religion
Islamic Creed
Idadi ya Vipengele: 436
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Kumpenda Mtume rehma na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, na kisa cha Baitul Maamur.
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Anuwani ya mada hii ni: Muhammad ni mjumbe wa Allah, imezungumzia pia baadhi miujiza ya Mtume s.a.w
- Kiswahili Mhadhiri : ZAID BASHIR Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Anuwani ya mada hii ni: Muhammad ni mjumbe wa Allah, na kwamba ummat Muhammad ndio utakuwa wa kwanza kuingia peponi, pia imezungumzia mambo 3 wasio na imani hawayapendi.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Mhadhiri : Saidi Mtatuu Mango Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazunguzia swala yenye unyenyekevu na faida za unyenyekevu katika swala.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazunguzia Akama za wanafiki na mafikiyo ya wanafiki.
- Kiswahili
- Kiswahili Mhadhiri : Zuberi Athumani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
KHUTBA HII YA EDDI ALFITRI INAZUNGUMZIA KUHUSU UMUHIMU WA IKHLASI KATIKA IBADA NA UWAJIBU WA MWISLAM KUENDELEZA IBAADA BAADA YA RAMADHANI.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia uchawi, hukumu yake na madhara yake na uchafu wa mchawi na adhabu zake.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Mhadhiri : Jabir Yusuf Katura Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia namna ya kumtukuza mtume s.a.w.na kumuheshimu mtume na taratibu za kumtakia rehma.
- Kiswahili
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inaelezea kuhusu ibn umar R.A katika wengi wa kupokea hadithi za mtume na kumfata sunna zake.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inaelezea kuhusu athari za utawala wa Khalifa Abubakr R.a na Makhalifa wengine Allah awaridhie.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inaelezea kuhusu sulhu ya hudeibiya,baada ya kufa kwa Mtume S.a.w na khutba ya Khalifa wa kwanza katika Uislam Abubakr R.a.
- Kiswahili Mhadhiri : Hashim Rusaganya Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea namna baadhi ya waislamu walivyo potea na kufuata maadili yasiyo kuwa ya kiislamu.
- Kiswahili Mhadhiri : Hashim Rusaganya Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea hali ya kida’waa (ulinganizi) katika inchi ya ethiopia.
- Kiswahili Mhadhiri : Hashim Rusaganya Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea hijra ya kwanza ya waislamu kuelekea habasha (Ethiopia) na faida zinazo patikana katika kisa hicho.
- Kiswahili Mhadhiri : Hashim Rusaganya Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea faida zinazopatikana kwenye kisa cha Swahaba Suhaib Alrumi na namna alivyokuwa na subra kwajili ya Allah.
- Kiswahili Mhadhiri : Hashim Rusaganya Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea namna Maswahaba (r.a) walivyotoa mali zao kwa ajili ya Allah, mfano wa Abubakar Swiddiq na wengineo.
- Kiswahili Mhadhiri : Hashim Rusaganya Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inatahadharisha juu ya kuwadharau Maswahaba na imezungumzia namna alivyo silimu Swahaba mwanamke Zinirah (r.a).
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hizi zinaongelea Ubora wa kumtaja Mwenyezi Mungu na faida zake katika maisha ya kila siu, na imewekwa kwa njia ya maandishi.