- Classification Tree
- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed
- Tauhidi
- Ibada
- Uislamu
- Imani
- Mambo ya Imani
- Ihsani (Wema)
- Ukafiri
- Unaafiki
- Shirki
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- Kumuomba Allah kwa kupitia kitu fulani
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
- Fiqhi
- Ibada
- Twahara
- Prayer
- Jeneza
- Zaka
- Swaumu
- Hijja na Umra
- Hukumu za Hutuba ya Ijumaa
- Sala ya Mgonjwa
- Sala ya Msafiri
- Swala ya Vitani
- Transactions
- Viapo na Nadhiri
- Familia
- Tiba ya kutumia dawa na Ruqya ya kisheria
- Vyakula na vinywaji
- Makosa ya jinai
- Judiciary System in Islam
- Jihadi
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqhi ya sehemu ambayo waislamu ni wachache
- Siasa ya kisheria
- Madhehebu ya kifiqhi
- Fataawa
- Msingi wa Fiqhi
- Books on Islamic Jurisprudence
- Ibada
- Ubora
- Ubora wa Ibada
- Ubora wa Tabia
- Adabu mbali mbali
- General Islamic Etiquette
- Adabu za salamu
- Adabu za Barabarani na Sokoni
- Adabu za kula na kunywa
- Etiquette of Hospitality
- Etiquette of Visiting People
- Adabu za kutoa Chafya
- Etiquette of Market
- Etiquette of Yawning
- Adabu za kumtembelea Mtu na namna ya kubisha hodi
- Adabu za kuvaa mavazi
- Adabu za kumtembelea Mgonjwa
- Adabu za kulala na kuamka
- Ndoto
- Adabu ya Mazungumzo
- Adabu ya Safari
- Adabu ya Muskiti
- Adabu za Ndoto
- General Islamic Etiquette
- Dua mbali mbali
- Major Sins and Prohibitions
- Arabic Language
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Mawaidha yanayo vunja moyo
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Da’wa namna ilivyo kwa sasa
- The Importance of Calling to Allah
- History
- Islamic Culture
- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
- Khutba za mimbar
- Academic lessons
- General Public of Muslims
- Books on Islamic Creed
- Elimu
- Islamic Knowledge Source Texts
- Source Texts of Quran's Interpretation
- Source Texts of Quran's Recitations and Reciting Rules
- Source Texts of Islamic Creed
- Source Texts of Prophetic Sunnah
- Source Texts of Arabic Grammar
- Source Texts of Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Source Texts of Islamic Jurisprudence
- Audio Books and Source Texts
- Seekers of Knowledge
- Seekers of Knowledge (Beginners)
- The Prophetic Biography
- Introducing Islam to Muslims
- Introducing Islam to non-Muslims
Islamic Creed
Idadi ya Vipengele: 67
- Kiswahili Mhadhiri : Swalehe Ibrahim Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia:kuwa na adabu na Allah kazungumzia maana ya adabu na cheo cha Adabu, pia kazungumzia hatuwa za kuwa na adabu na Allah, na sifa za mwenye adabu, na jinsi ya kuwa na adabu na Allah.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia:Utukufu wa muislam kuwa na lailaha Illa Allah katika maisha yake, na mambo mengi alio yafanya Allah kwasababu ya neon hilo, na kuna habari njema kuwa mwenye kufa bila kufanya ushirikina ataingia peponi.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Yasini Twaha Hassani
Mada hii inazungumzia: Uislamu aliokuja nao Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na namna alivyolingania watu katika uislamu na huruma kwa umma wake, na uislam haikuja kwa upanga.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inafafanua: Uhalisia wa namna Mtume (S.a.w) alivyozikwa, inafafanua pia namna alivyozikwa Fatwima Binti Rasuli LLah (R.a), kinyume na wanavyopotosha Mashia.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Makundi ya Kishia na chimbuko la kila kundi,na namna walivyo tofautiana na viongozi wao.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Uzushi na propaganda za Mashia kwa Maswahaba (R.a) hasa kwa Abubakar na Omar (R.a) katika kutowa mkono wa utii kwa Abubakari.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Watu waliomfuata Abdillahi Bin Sabaa, pia Shekh anajibu maswali na kutoa ufafanuzi zaidi kuhusu Mashia.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Madai ya Mashia kuhusu Qur’an tukufu yakwamba Maswahaba walipunguza baadhi ya Aya na Surah katika Qur’an wakati wa kuikusanya.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Madai ya Mashia kwamba wana Msahafu wenye ziada ya sura na ayah kuliko Msahafu huu tulionao, akinukuu shekh kutowa katika vitabu vya mashie, na nikatika maswali yasiyo jibika.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya Yushaa Bin Nuni, na asili ya Abdillah Bin Sabaa, inazungumzia pia namna Mashia walivyo mfanya Ally Bin Abi Twalib kuwa ni Mungu.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Uadui wa Mashia dhidi ya Uisilam na Waislam, na kwamba Mashia wanafanya sana taqiyya, pia imezungumzia Ahlul bayti ni akina nani
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
1- Mada hii inazungumzia: Uhatari na potofu la kishia, imezungumzia historia fupi ya Mtume (S.a.w) na Maswahaba wake (R.a) 2- Mada hii inazungumzia: Namna mayahudi wa Madina walivyoungana katika vita ya Ahzab, na makabila yaliyoritadi, inazungumzia pia historia ya Makhalifa waongofu kwa ufupi, na huo ndio mwanzo wa kupatatikana Mshia. 3- Mada hii inazungumzia: Chanzo cha fitina za myahudi Abdillahi Bin Sabaa, inazungumzia pia itikadi potofu za Mashia kwamba Qur’an ilibadilishwa. 4- Mada hii inazungumzia: Udanganyifu wa Mashia wa kutumia "taqiyya" inazungumzia pia uhalisia wa namna Qur’an ilivyo kusanywa na Othman Bin Afaan (R.a). 5- Mada hii inazungumzia: Namna Mashia wanavyojiweka karibu na waislamu ili waonekane ni waislam na hali siyo waislam, Mashia na Mayahudi ni sawa na wote ni maadui wa uislam. 6- Mada hii inazungumzia: Maswali na majibu ya darsa zima la uhatari na upotofu wa Mashia, ambapo swali la kwanza: ni vipi Abdillahi Bin Sabaa alishindwa kueneza fitina katika mji wa Madina?.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
1- Mada hii inazungumzia: Maana ya neno "Shia" kilugha na kisheria, na namna lilivyotajwa katika Qur’an Tukufu. 2- Mada hii inazungumzia: Ni nani Shia kwa mujibu wa wanachuoni wao, na kwamba ili uwe Shia lazima ukatae Uimamu wa Abubakar, Omar na Othmani (R.a). 3- Mada hii inazungumzia: Kujitokeza kwa Abdillahi Bin Sabaa mwishoni mwa utawala wa Othman Bin Affan (R.a), akaanzisha fitina kubwa ya kudai Utume na kudai kwamba Khalifa Ally Bin Abi Twalib ni Mungu 4- Mada hii inazungumzia: Kujitokeza kwa Abdillahi Bin Sabaa mwishoni mwa utawala wa Othman Bin Affan (R.a), akaanzisha fitina kubwa ya kudai Utume na kudai kwamba Khalifa Ally Bin Abi Twalib ni Mungu 5- Mada hii inazungumzia: Mashia wanadai kua Ukhalifa ni cheo kama Utume, pia inazungumzia kuwa vipi Mashia wanawakufurisha Abubakar na Omar (R.s) wakati Ally Bin Abi Twalib (R.a) kamuozesha Omar (R.a) binti yake Ummu Kuluthum?.
- Kiswahili Mhadhiri : Yunus Kanuni Ngenda Kurejea : Yasini Twaha Hassani
Mada hii inazungumzia:Umuhimu wa ikhlasi katika ibada na sababu ya kukubaliwa ibada na umuhimu wa kumfuata mtume katika kila jambo, na majuto kwa mwenye kuacha Sunnah.
- Kiswahili Mhadhiri : Ahmad Al Zahran Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Namna Mwenyezi Mungu alivyo amrisha binadam wamuombe yeye, na umuhim wa dua, na subra katika mitihani ya Da’wa.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia mambo yafuatayo: umuhimu wa kuwatii viongozi, fitina za zama za mwisho na maana halisi ya jamaa.
- Kiswahili Mhadhiri : Ahmad Al Zahran Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazunguzia uhakika wa Nabii Issa ndani ya Qur’an tukufu, na katika Biblia, na sababu ya kupandishwa Mbinguni.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
• Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujitoa katika fitna,namambo aliyo tabiri Mtume s.a.w, ktk zama za mwisho. • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na ubaya wa fitna na shubuhati • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na Ubora Wa Subra Katika zama za fitna,na hasara ya kufanya mambo kwa jazba • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na aina za utawala baada ya Mtume s.a.w, na ujumbe aliouacha Mtume s.a.w kuhusu utawala baada yake.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia mambo 6 ambayo muislam amepewa dhamana ya kuingia peponi mwenye kuyahifadhi.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia mambo ambayo unapoyafanya unatoka katika uislam nayo niushirikina.