Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Manners

Idadi ya Vipengele: 5

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazunguzia: Ubora wa kutia nia thabiti katika safari ili kupata malipo ya safari na malipo ya ibada ya Hijja, pia imezungumzia miongoni mwa sunna za safari kama vile kusoma dua mwanzo na mwisho wa safari kama alivyo fundisha Mtume (s.a.w)

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazunguzia adabu za mchezo na mzaha, na vipi Maswahaba walifanya michezo na mizaha.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazunguzia adabu na umuhimu wa salam katika uislam

  • Kiswahili

    MP3

    • Mada hii inazunguzia Sunna Adabu za chakula na tofauti zao katika kupata rizki na hukumu za bismilahi katika kula. • Mada hii inazunguzia Adabu za kula na hukumu ya kudhihirisha bismilahi,na hukumu ya kuacha bismilahi. • Mada hii inazunguzia Adabu za kula chakula na hukumu ya kulamba chakula na ubora wake. • Mada hii inazunguzia Adabu za chakula,makatazo zakula chakula cha moto,na kupuliza chakula,nakukitia aibu chakula,nakula kwa mkono wa kulia.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Shamsi Ilmi

    Mada hii inazungumzia Adabu za kiislam na adabu za Msikiti na umuhimu wake.

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1