Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Islamic Jurisprudence

Idadi ya Vipengele: 97

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazunguzia Nguzo za swaumu ikiwemo Nia ambayo mahala pake nimoyoni, pia kujuwa wakati wa kufunga tangu kutoka Alfajiri mpaka kuzama jua, na kujiziwiya na vitu vinavyo funguza .

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia: mambo matatu yanayo mfuata maiti baada yakufa ikiwemo watu wake na mali yake na matendo yake, vyote vitarudi ila matendo yake, hakika matendo mazuri ndio rafiki yako kaburini.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia:Hukumu ya kuutangulia mwezi mtukufu wa ramadhani, na maana ya shaka ilio katazwa kufunga ndani yake, pia kaeleza mwanzo wa kufunga na kufungua, pia kaelezea uwajibu wa kufunga kwa mwezi wa kutangaziwa na waislam.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia:Makosa makubwa wanayo fanya akina mama katika kupeyana mafunzo au misiba au sharia, pia ametaja sifa ya mwanamke ambae ni Dayuth, kisha amezungumzia Umuhimu wa kukumbushana katika Dini.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia:Kifo na mandalizi yake na mafanikio ya mwenye kufanya mema akiwa kaburini, pia kazungumzia maisha mapya kaburini, na uwajibu wa kufanya mema na kuacha maovu

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia: Baadhi ya makosa katika kuzika, na umuhimu wa kukumbushana na ubora wa kuijufunza ibada na kuisoma, na miongoni mwa makosa katika kuzika nikuweka mto wa maiti, na kufunguliwa sikio na kidole gumba, nakulifanya kaburi pembe nne.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yasini Twaha Hassani

    Mada hii inazungumzia: Sheria ya kuoa wake zaidi ya mmoja na uadilifu katika kutekeleza haki za wake, na chanzo cha kukataa mke kuongezewa mke wa pili, na msimamo na subra kwa alie ongeza mke wa pili. 2- Mada hii inazungumzia:Utukufu wa ndoa na nasaha muhimu kwa mume katika kuoa, pia ndoa nisheria ya Allah, na pia inazungumzia malengo makuu ya sharia ya kiislam, ikiwemo kuhifadhi kizazi, na hukumu ya kuoa zaidi ya mke mmoja, na hukumu za kisheria katika kuoa wake zaidi ya mmoja.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia: Mbinu wanazozitumia maadui wa Uislamu lengo ni kuuchafua uislam, lazima watu waisafishe dini ya Allah (S.w), imezungumzia pia ubaya wa kundi la khawarij na uharamu wa kuua au kumwaga damu bila haki.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazunguzia: Umuhimu wa biashara katika jamii na sharti zake na kwamba ni lazima kwa wafanya biashara kuwa na elimu ya biashara, pia imezungumzia maana ya biashara na kubainisha biashara yenye Baraka na biashara isiyo na barka.

  • Kiswahili

    MP3

    1-Mada hii inazungumzia:Faida ya malezi mema, na amezungumzia kuwa Allah ndio mwenye kutowa watoto, na amezungumzia misingi ya kupata mototo mwema ikiwemo kuchaguwa mke mwema,na Haki za mtoto baada ya kuzaliwa. 2-Mada hii inazungumzia: Ubora wa kuwasomesha Quraan, na Uhatari wa kutowasomesha watoto dini matokeo yake watoto wanakua hali ya kuwa hawajui yaliyo ya halali wala ya haram mpaka katika ndoa zao. 3-Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa elimu ya dini na Makosa ya wanawake wakati wa nifasi, na mtume kumtuma Muadhi kwenda Yemen ni mfano mwema wa malezi bora. 4-Mada hii inazungumzia: Kuenea kwa dhulma sababu kubwa ni kukosekana malezi mema, pia imezungumzia hatari ya kuvuta sigara na ulevi wa pombe. 5-Mada hii inazungumzia: Njia nne za kumfanya mtoto kuwa mwema, pia imezungumzia maadili na faida alizotufundisha Mtume (S.a.w)

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii ya sauti inazungumzia uwajibu wa wanawake kujistiri na umuhimu wa kuvaa hijabu na malipo anayo pata mwenye kuvaa hijabu atika nchi za fitna.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazunguzia Sharti za Walii katka ndoa,katika yalio zungumzwa:Sharti za walii,na Umuhumu wa kuheshimu Ndoa,na wanavyo takiwa wawe wanandoa.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Nurdin Kishki Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazunguzia Matatizo ya vijana wa kiislam na tiba yake.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia Mwisho wa maisha ya mwanadamu na jinsi ya kujiandaa na Akhera.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inaelezea umuhimu wa ndoa.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Shamsi Ilmi

    Mada hii inazungumzia hukumu ya muzii na dalili zake na qauli za wanachuoni juu ya uharamu wa muziki.

  • Kiswahili

    MP3

    1- Mada hii inazungumzia hukumu za kula daku sehemu ya kwanza inazungumziya furaha mbili za mfungaji,na Baraka za kula daku,na ubora wakula daku. 2- Mada hii inazungumzia hukumu za kula daku namakusudio ya Baraka katika kula daku,na muda wakula daku.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia neema ya mtoto na umuhimu wa kumlinda motto.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia hukumu ya kutowa zakatul fitri na Yule ambae niwajibu kwake kutowa,hukumu yakutowa thamani yake,faida ya zakatul alfitwir,na aina ya chakula kinachotakiwa kutolewa,na kiwango chake.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia mambo ambayo yanayo haribu swaumu pindi atakapo yafanya mwenye kufunga.