Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Idadi ya Vipengele: 26

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya sita na yasaba, kuhusu na najsi ya mbwa, kisha amebainisha mbwa anaefaa kufugwa, kisha akabainisha namna ya kusafisha najsi ya mbwa, na akasema kuwa hadithi ya sita na ya saba zinabainisha kuwa mbwa ni najsi.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya sita, amebainisha kauli za wanachuoni kuhusu najsi ya mbwa, kisha akabainisha uwajibu wa kutumia mchanga katika kuosha najsi, kisha akabainisha faida katika hadithi hii: kwamba najsi ya mbwa na nguruwe ni najsi nzito, mbwa akilamba katia chombo kinakuwa najsi.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya tano ameleza faida za hadithi ikiwemo, kujuzu kujitwaharisha katika maji yanayo tembea na inajuzu kukidhi haja katika maji yanayo tembea kwa dharura. Kisha amebainisha hadithi ya sita inayo zungumzia namna ya kuosha chombo kilicho lambwa na mbwa na nguruwe kisha ametaja taratibu za kufuga mbwa.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya tano na amebainisha upotovu wa rai ya dhwahiriya katika hadithi hii, kisha amebainisha faida za hadithi hii ikiwemo: makatazo ya kukojoa katika maji yalio tuwama, na kwamba Uislam unalinda mazingira, uislam unapiga vita uchafuzi wa mazingira, na usafi nikatika imani.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya tano ambayo imeelezea makatazo ya kuoga katika maji yalio tuwama mahala pamoja, kisha akabainisha maana ya maneno ya hadithi na tafsiri ya hadithi kisha akafafanua kuhusu upokezi wa hadithi hii.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya nne, ameeleza maana ya hadithi kwa jumla, kisha akabainisha faida za hadithi: kwamba inafaa kupandisha maji puani na kuyatoa, na nisheria kuosha mikono miwili baada ya kuamka usingizini, aliye lala bila kuambatanisha makalio yake anatakiwa atawadhe upya.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: umuhimu wa kutawadha vizuri, na uhatari wa kuharakisha kutia udhu, kisha amewahusia watu waoshe viungo vizuri wakati wa kutawadha, katika hadithi: Udhu ni katika matendo mema, miguu inaoshwa katika kutawadha, mwenye kuacha mabaka katika kutawadha ataadhibiwa.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya tatu, amebainisha daraja ya hadithi hiyo na akafafanua baadhi ya maneno katika hadithi kama vile (waylu) na (aqaab).

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: umuhimu wa kujifunza mambo ya muhimu katika udhu kabla ya kuswali, kisha akataja faida zinazo tokana na hadithi: swala ya mwenye hadathi haikubaliwi, hadadhi ni katika vitenguzi vya udhu…

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: Ufafanuzi wa hadithi ya pili na amenukuu maneno ya shekh Albassam katika kufafanua maana ya hadithi, kisha amebainisha hukumu za hadithi kisha akasisitiza uwajibu wa kutawadha vizuri.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: Maana ya hadithi kwa ujumla kisha historia fupi ya Swahaba Abuu Hurayra, kisha akabainisha maana ya kauli ya Mtume (s.a.w): (hakubali) katika hadithi, kisha akaweka wazi tofauti baina ya hadath na najsi.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: marejeo mafupi ya hadithi iliyo tangulia kisha akaanza kufafanua hadithi ya pili katika hadithi za kitabu cha Umdatul Ahkam..

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: rai za wanachuoni kuhusiana na hadithi ya Omar bin khatwab, na kwamba hadithi hii ni msingi katika misingi ya kisheria, na kwamba ni nusu ya elimu.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: ufafanuzi wa hadithi ya kwanza kazungumzia maana ya matendo, akaeleza tofauti baina ya niya na kuazimia, kisha akaeleza kusudio la kuhama katika uislam.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: maana ya kuhama na kwamba niya inaweza kubadilisha matendo kisha akasema kuwa hadithi ya niya ni nusu ya elimu.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: mlango wa kwanza katika kitabu cha Umdatul Ahkam, kisha akabainisha maana ya twahara, kisha akaanza kusherehesha hadithi yakwanza na kutaja historia fupi ya maisha ya Omar bin Khatwab kwa ufupi (r.a).

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: Jinsi zilivyo kusanywa hadithi, kisha amebainisha namna ya kusherehesha hadithi ikiwemo kusoma hadithi kisha kufafanua maneno ya kiarabu kisha kubainisha faida zilizo patiana katika hadithi.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: maana ya Bismilahi aliyo iandika mtunzi wa kitabu kabla hajaanza kuzungumzia mlango wa twahara, na sababu ya kuanza na bismilahi kisha akazungumzia umuhimu wa kuanza na bismilahi katika kila jambo.

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: riwaya ya Imamu shafy kwamba asiye tumia hadithi za Mtume (s.a.w) ni sawa na mkristo, kisha ametaja uwajibu wa kuwachukia wanao kanusha maneno ya Mtume (s.a.w) kisha akataja dalili za kiakili zinazo thibitisha kuwepo kwa hadithi za Mtume (s.a.w).

  • Kiswahili

    MP4

    Shekh anazungumzia: Itikadi mbaya za wanao pinga hadithi za Mtume (s.a.w) na kwamba wanao pinga hadithi za mtume (s.a.w) ni Mazindiq na ni Mashia, kisha akazungumzia kwa ufupi kuhusu itikadi zao chafu.

Ukurasa : 2 - Kutoka : 1