Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Children Affairs

Idadi ya Vipengele: 6

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia umuhimu wa elimu ya dini na kubainisha haki ya mtoto katika kumsomesha elimu ya dini,na majukumu ya wazazi kwa watoto,khatari ya kusoma katika mashule ya kikafiri.

  • Kiswahili

    MP3

    1-Mada hii inazungumzia:Faida ya malezi mema, na amezungumzia kuwa Allah ndio mwenye kutowa watoto, na amezungumzia misingi ya kupata mototo mwema ikiwemo kuchaguwa mke mwema,na Haki za mtoto baada ya kuzaliwa. 2-Mada hii inazungumzia: Ubora wa kuwasomesha Quraan, na Uhatari wa kutowasomesha watoto dini matokeo yake watoto wanakua hali ya kuwa hawajui yaliyo ya halali wala ya haram mpaka katika ndoa zao. 3-Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa elimu ya dini na Makosa ya wanawake wakati wa nifasi, na mtume kumtuma Muadhi kwenda Yemen ni mfano mwema wa malezi bora. 4-Mada hii inazungumzia: Kuenea kwa dhulma sababu kubwa ni kukosekana malezi mema, pia imezungumzia hatari ya kuvuta sigara na ulevi wa pombe. 5-Mada hii inazungumzia: Njia nne za kumfanya mtoto kuwa mwema, pia imezungumzia maadili na faida alizotufundisha Mtume (S.a.w)

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia neema ya mtoto na umuhimu wa kumlinda motto.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia umuhimu wa kuwafundisha watoto Quraan

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia thamani ya undugu katika uislam na umuhimu wa kuwaandaa vijana kwaajili ya badae pia mada inazungumzia umuhimu wa swala ya Alfajri katika maisha yetu.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia misingi bora ya malezi ya mtoto katika uislam,tangu hajazaliwa mtoto,pia imezungumzia matatizo ya malezi na ufumbuzi wake.

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1