- Classification Tree
- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed
- Tauhidi
- Ibada
- Uislamu
- Imani
- Mambo ya Imani
- Ihsani (Wema)
- Ukafiri
- Unaafiki
- Shirki
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- Kumuomba Allah kwa kupitia kitu fulani
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
- Fiqhi
- Ibada
- Twahara
- Prayer
- Jeneza
- Zaka
- Swaumu
- Hijja na Umra
- Hukumu za Hutuba ya Ijumaa
- Sala ya Mgonjwa
- Sala ya Msafiri
- Swala ya Vitani
- Transactions
- Viapo na Nadhiri
- Familia
- Tiba ya kutumia dawa na Ruqya ya kisheria
- Vyakula na vinywaji
- Makosa ya jinai
- Judiciary System in Islam
- Jihadi
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqhi ya sehemu ambayo waislamu ni wachache
- Siasa ya kisheria
- Madhehebu ya kifiqhi
- Fataawa
- Msingi wa Fiqhi
- Books on Islamic Jurisprudence
- Ibada
- Ubora
- Ubora wa Ibada
- Ubora wa Tabia
- Adabu mbali mbali
- General Islamic Etiquette
- Adabu za salamu
- Adabu za Barabarani na Sokoni
- Adabu za kula na kunywa
- Etiquette of Hospitality
- Etiquette of Visiting People
- Adabu za kutoa Chafya
- Etiquette of Market
- Etiquette of Yawning
- Adabu za kumtembelea Mtu na namna ya kubisha hodi
- Adabu za kuvaa mavazi
- Adabu za kumtembelea Mgonjwa
- Adabu za kulala na kuamka
- Ndoto
- Adabu ya Mazungumzo
- Adabu ya Safari
- Adabu ya Muskiti
- Adabu za Ndoto
- General Islamic Etiquette
- Dua mbali mbali
- Major Sins and Prohibitions
- Arabic Language
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Mawaidha yanayo vunja moyo
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Da’wa namna ilivyo kwa sasa
- The Importance of Calling to Allah
- History
- Islamic Culture
- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
- Khutba za mimbar
- Academic lessons
- General Public of Muslims
- Books on Islamic Creed
- Elimu
- Islamic Knowledge Source Texts
- Source Texts of Quran's Interpretation
- Source Texts of Quran's Recitations and Reciting Rules
- Source Texts of Islamic Creed
- Source Texts of Prophetic Sunnah
- Source Texts of Arabic Grammar
- Source Texts of Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Source Texts of Islamic Jurisprudence
- Audio Books and Source Texts
- Seekers of Knowledge
- Seekers of Knowledge (Beginners)
- The Prophetic Biography
- Introducing Islam to Muslims
- Introducing Islam to non-Muslims
Kuamini siku ya Mwisho
Idadi ya Vipengele: 17
- Nyumbani
- Lugha ya maonyesho : Kiswahili
- Lugha ya maudhui : Lugha zote
- Kuamini siku ya Mwisho
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
• Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujitoa katika fitna,namambo aliyo tabiri Mtume s.a.w, ktk zama za mwisho. • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na ubaya wa fitna na shubuhati • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na Ubora Wa Subra Katika zama za fitna,na hasara ya kufanya mambo kwa jazba • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na aina za utawala baada ya Mtume s.a.w, na ujumbe aliouacha Mtume s.a.w kuhusu utawala baada yake.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia mambo 6 ambayo muislam amepewa dhamana ya kuingia peponi mwenye kuyahifadhi.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
1- Mada hii inazungumzia: Zama za fitna na kwamba nilazima watu wachukue tahadhari, pia imezungumzia umuhimu wa kutafuta elim yenye manhji ya kufuata sunna za Mtume (s.a.w). 2- Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa muislam madhubuti katika imani yake, pia imezungumzia hatari ya kufuata au kufanya jambo bila ya elim, nakwamba nisababu ya kuingia katika fitna.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
1. Mada hii inazungumzia khutba ya mkosi na sababu ya kuitwa hivyo pia amezungumzia vitisho vya siku ya Qiyama. 2. Mada hii inakamilisha mada iliyo pita imeelezea hali za watu wamotoni na vyakula vyao na nguo zao, pia mezungumzia maneno ya shetani atakayo zungumza motoni.
- Kiswahili Mhadhiri : Swalehe Ibrahim Kurejea : Yasini Twaha Hassani
1- Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa alama za Qiyama ni pindi itakapo potea amana na atakapo pewa majukum mtu asiyefaa basi subirini Qiyama, pia imezungumzia umuhimu wa kuchagua viongozi wanao faa 2- Makala hii inazungumzia: Madhara ya kutegemeza majambo kwa wanawake na watu wajinga wasio na elimu basi umauti ni bora kuliko kuishi, pia imeelezea hatari za ubakhili.
- Kiswahili Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
1- Mada hii inazungumzia umuhimu wa kuandaa darsa kwa wanawake, kwasababu ndio wengi motoni, na ametaja sababu za kuwa wengi motoni, kasha amehusiya watu wahifadhi ndimi zao. 2- Mada hii inazungumzia sababu ya wanawake kuingia motoni kama kulani sana na kukataa wema wa mume wake, ametaja jinsi mwaname anavyo shawishika katika zama hizi, kisha amezungumzia maana ya ugeni katika dini . 3- Mada hii inazungumzia baadhi ya mifano kwa wanawake walio pata mateso lakini wakathibiti katika dini, kama Mwanamke aliekuwa anafanya kazi ya kuwasuka mabinti wa Firauni, na mke wa Firauni amehimiza umuhimu wa kuithamini Dini. 4- Mada hii inazungumzi halia za wanawake wa kiislam na udhaifu wao katika ibada nakudai kwao haki sawa, na baadhi ya hoja dhaifu katika kuvaa hijabu, kisha akabainisha umuhimu wa mwanamke wa kiislam kushikamana na dini. 5- Mada hii inazungumzia tabia ya kusengenya wanawake, na uharamu wake, na uwajibu wa kuhifadhi ndimi, kisha akataja kuwa mwanamke atakaeshikamana na dini atakuwa peponi na familia yake.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Makala hii inazunguzia:Mambo manne mwenye kuyafanya yote kwa ujumla atapata pepo, miongoni mwa mambo hayo ni kufunga na kutoa sadaka na kumtembelea mgonjwa…
- Kiswahili Mhadhiri : Swalehe Ibrahim Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Kufaulu kukubwa na maana yake, na aina za kufaulu, na kufaulu duniani na Akhera, na mambo yanayo ufanya uwe miongoni mwa walio faulu.
- Kiswahili Mhadhiri : Nasoro Abdallah Bachu Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia makundi ya watu wanne watakao ingia peponi bila hesabu, na makundi ya watu wanne watakao ingia Motoni bila hesabu.
- Kiswahili Mhadhiri : Nasoro Abdallah Bachu Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazunguzia Baadhi ya hali za watu wa motoni.
- Kiswahili Mhadhiri : Husseni Saidi Sembe Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia fitna zilizoenea katika zama na namna ya kijiepusha.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
• Mada hii inazungumzia maisha ya mwanadamu baada ya kuumbwa na mtu wakwanza kufa. • Mada hii inazunguzia mambo ambayo yatamkuta mtu kabla ya kufa. • Mada hii inazunguzia mambo ambayo yatamkuta mtu baada ya kutolewa roho.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia baadhi ya tabiya za zama za mwisho ikiwemo kuwatuka mashe,nakuwakufurisha watu.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
Khutba hii inazungumzia thamani ya wazazia nawao nimilango ya pepo,na cheo cha mama katika maisha ya wanadamu,na sababu zinazo sababisha watoto wasiwatii wazazi wao.
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Qahtwani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii imezungumzia aina za watu siku ya Qiyama nyuso nyeupe na nyuso nyeusi na mafikiyo ya kila kundi.
- Kiswahili Mhadhiri : Mohammad Sharifu Famau Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia vitisho vya siku ya qiyama na atakae kuwa nishahidi wa ummati muhamad siku ya qiyama,na sababu ya kuchaguliwa mtume kuwa shahidi wa umati muhammadi.
- Kiswahili Mhadhiri : Hilal Sheweji Kipozeo
The Disavowal Of Satan From People In The Day Of Judgement