Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Calling to Allah's Religion

Idadi ya Vipengele: 12

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii Inaelezea kwamba Uislam upo katika Maumbile ya mwanadamu na ndio asili alio umbiwa mwanadamu, kisha akataja dalili nyingi kuhusu hilo.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii Inaelezea kuwa Uislam ndio dini ya haki na kwamba hataingia peponi ispokuwa mwislam, kisha ikabainisha kuwa Uislam ndio njia ya kuingia peponi.

  • Kiswahili

    MP4

    UISILAMU NI DINI YA MITUME

  • Kiswahili

    MP4

    Nani alie ni umba ? Na kwa nini ?. Maudhui zilizondani: 1. Maana ya Uisilamu. 2. Misingi mikuu ya Uisilamu:         - Kumuamini Allah Muumba wa kila kitu.         - Kuamini Mitume wote.         - Kuamini Vitabu vitukufu vyote.         - Kuamini Malaika.         - Kuamini Siku ya mwisho.         - Kuamini Kadari ya heri na ya shari. 3. Imani ya Uisilamu juu ya Isa mwana wa Maryamu. 4. Uisilamu si wa tabaka la watu maalumu, bali ni wa kila mtu. 5. Je kusilimu ni hiyari yake mtu? 6. Kusilimu ni vipi?

  • Kiswahili

    MP4

    Umegundua uzuri wake wa kweli

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Hatuwa za kuumbwa mwanadamu na jinsi zinavyo badilika mbegu (manii) mpaka kufikia kuwa kiumbe hai, pia imeelezea, viza vitatu anavyopitia mwadamu.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Maisha ya Nabii Adam (a.s) baada ya kuondolewa Peponi, pia imezungumzia umuhimu wa kufuata mwongozo wa Allah katika maisha.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Safari ya mwisho na maana yake na kwamba kila safari lazima iwe na mwanzo, pia imeelezea historia fupi ya kuumbwa kwa Nabii Adam.

  • Kiswahili

    MP4

    Anuwani ya mada hii ni: Fadhila alizopewa mwanadamu, na kuitumia vizuri neema ya macho na ulimi.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazunguzia Mipaka ya kuheshimiyana baina ya waislam.

  • Kiswahili

    MP3

    MADA HII INAZUNGUMZIA UWAJIBU NA UBORA WA KUITUMIKIA DINI NA MALIPO ATAKAYO PATA ATAKAE KUFA KATIKA KUITUMIKIA DINI YA UISLAM.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Juma Amir Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa

    Mada hii inazungumzia uhusiano wa africa na uislam,na watu wakwanza walio leta uislam africa mashariki,na ukarimu wa watu wa afrika mashariki.

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1