Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Idadi ya Vipengele: 53

  • Kiswahili

    PDF

    Mwandishi : Abdul Mohsen Al-Qasim

    TAWHIDI KATIKA HOTUBA ZA AL-MASJID AN-NABAWI

  • Kiswahili

    PDF

    Tafsiri hii ya Qur’an Takatifu ambayo ni maarufu kwa jina la Tafsiri ya Ibn Kathir iliandikwa na AI-Hafidh Abu AI-Fida ‘Imad Ad-Din Ismail bin Umar bin Kathir AI-Quraishi Al-Busrawi (Aliyekufa Mwaka 744 H) ni tafsiri maarufu sana kati ya Tafsiri za Qur’an katika lugha ya Kiarabu, na Waislam wengi wanaiona kuwa ni yenye marejeo mazuri kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah. Kazi hii ya .Kiarabu ina kurasa elfu tatu na mia mbili katika juzuu nne Darussalam ya Saudi Arabia walichagua jopo la Wanazuoni wa Kiislam kuandika muhtasari wa Tafsiri Ibn Kathir katika lugha ya asili ya Kiarabu. Sheikh Abu AI-Ashbal Ahmad Shaqif wa Rabitah AI-Alam AI-Islami, Makka, na Sheikh Safiur-Rahman Al-Mubarakfuri, Mkuu wa kamati ya Utafiti ya Darussalam waIifanya kazi na kikundi cha wanazuoni kwa takriban Miaka minne kufanikisha azma hiyo. Na Darussalam wakaja na toleo lililofupishwa katika lugha ya Kiarabu, kwa jina la Al-Misbah AI-Munir Fi- Tahdhib Tafsir Ibn Kathir. Tafsiri hii ya Kiswahili ni ya Kitabu hiki cha Kiarabu Al-Misbah AI-Munir Fi- Tahdhib Tafsir Ibn Kathir. .Fikra hii ilianza Mwaka 2005 na kutumia Miaka 17 takriban mpaka kukamilika Tarjama hii ni juhudi kubwa iliyoshirikisha Masheikh na wataalamu wetu wa fani mbalimbali za Dini ya Kiislamu na lugha zote husika. Katika kipindi cha miaka 17, Mradi huu wa Tarjama hii umepitia awamu mbalimbali, tutajitahidi kuzielezea hapa zile awamu muhimu tu na pia tutajitahidi kuwataja baadhi ya walioshiriki katika ,juhudi hii kwa njia moja au nyingine 1. Tarjama hii ya Kiswahili imehaririwa kwa kupitiwa mara tano na Ustadh Yassir Salim Awadh Masoud, Msimamizi Mkuu wa Mradi huu. 2. Tarjama hii ya Kiswahili kwa kulinganisha na Kiarabu imepitiwa mara moja kwa ukamilifu na mara ya pili kwa kupitia maeneo mengi kwa lengo la kuiboresha na kuifanyia uhakiki na Sheikh Seif Abubakar Ruga. 3. Katika kuipitia rasimu ya pili iliyohakikiwa, kwa lengo la kuiboresha na kuihakiki zaidi, ilibidi tuwashirikishe Wataalamu wetu wengine zaidi wa Dini ya Kiislamu. Kwa sababu tafsiri ina kurasa zaidi ya elfu saba (7000), si rahisi kazi hii ikafanywa na mtu mmoja wa enzi hizi, hivyo basi tukazigawanya sura na juzuu kwa kuwapa Masheikh kuzipitia na kuzihakiki kwa kulinganisha na Tarjama asili ya Kiarabu. Hivyo basi, baadhi ya Sura na juzuu zilipitiwa na Masheikh wafuatao, Al Marhum Sheikh Suleyman Amran Kilemile, Sheikh Muharram Juma Doga, Sheikh Seif Abubakar Ruga, Sheikh Khatib Mussa Giragiza, Sheikh Mohamed Ali Kibabu, Sheikh Ali Asaa, Sheikh Khamisi Liyenike, na Sheikh Said Bawazir. Na wengine wengi unaweza kurejea juzuu ya kwanza ya tafsiri hii.

  • Kiswahili

    PDF

    MISINGI YA IMANI

  • Kiswahili

    PDF

    Kuchagua kutoka katika Historia ya Mtume Mteule

  • Kiswahili

    PDF

    Mambo Ya Msingi Ambayo Haitakikani Kwa Watoto Wa Kiislamu Kuto Yajua

  • Kiswahili

    PDF

    NYENZO ZA KUTHIBITI

  • Kiswahili

    PDF

    UTARATIBU WA MUISLAMU

  • Kiswahili

    PDF

    MUHAMMAD صلى الله عليه وسلم ndio Nabii wa mwisho

  • Kiswahili

    PDF

    HAZINA ZA SWALA

  • Kiswahili

    PDF

    TWAHARA NA SWALA

  • Kiswahili

    PDF

  • Kiswahili

    PDF

    TABIA KWENYE UISLAMU

  • Kiswahili

    PDF

    Kitabu cha Adabu za kwenda katika Swala

  • Kiswahili

    PDF

    SWAHABA NA MAMA WA WAUMINI KWA NINI TUNAWAPENDA NA KUATETEA ?

  • Kiswahili

    PDF

    MISINGI SITA

  • Kiswahili

    PDF

    SHARTI ZA SWALA NA NGUZO ZAKE NA WAJIBU WAKE

  • Kiswahili

    PDF

    Uwajibu wa kuzifanyia kazi Sunnah za Mtume Rehma na amani za Allah ziwe juu yake na ukafiri wa mwenye kuzikanusha

  • Kiswahili

    PDF

    Ubunifu katika Ukamilifu wa Sheria na kutahadhari na Uzushi

  • Kiswahili

    PDF

    Kitabu Riyaadhu Swalihin kimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili, kimeandikwa na Imam Yahya Bin sharaf An Nawawy kutoka Damaskas, amekusanya katika kitabu hiki hadithi sahiihi za mtume Muhamad rehma na amani ziwe juu yake, na hadithi zimeeleza mambo yote ya itikadi, na maisha ,amezileta hadithi kwa mpangilio wa milango na vifungu, ili mada zake ziwe nyepesi kwa msomaji, na apate faida.

  • Kiswahili

    PDF

    Al-Kabair nikitabu kilicho tungwa na Al-Hafidh Adh-dhahaby Allah amrehemu, ameeleza ndani yake yale yalio elezwa na na Allah na mtumewake kuwa nimadhambi makubwa, akayatolea dalili katika Qur'aan na Sunnah