- Classification Tree- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed- Tauhidi
- Ibada
- Uislamu
- Imani
- Mambo ya Imani
- Ihsani (Wema)
- Ukafiri
- Unaafiki
- Shirki
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- Kumuomba Allah kwa kupitia kitu fulani
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
 
- Fiqhi- Ibada- Twahara
- Prayer
- Jeneza
- Zaka
- Swaumu
- Hijja na Umra
- Hukumu za Hutuba ya Ijumaa
- Sala ya Mgonjwa
- Sala ya Msafiri
- Swala ya Vitani
 
- Transactions
- Viapo na Nadhiri
- Familia
- Tiba ya kutumia dawa na Ruqya ya kisheria
- Vyakula na vinywaji
- Makosa ya jinai
- Judiciary System in Islam
- Jihadi
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqhi ya sehemu ambayo waislamu ni wachache
- Siasa ya kisheria
- Madhehebu ya kifiqhi
- Fataawa
- Msingi wa Fiqhi
- Books on Islamic Jurisprudence
 
- Ibada
- Ubora- Ubora wa Ibada
- Ubora wa Tabia
- Adabu mbali mbali- General Islamic Etiquette- Adabu za salamu
- Adabu za Barabarani na Sokoni
- Adabu za kula na kunywa
- Etiquette of Hospitality
- Etiquette of Visiting People
- Adabu za kutoa Chafya
- Etiquette of Market
- Etiquette of Yawning
- Adabu za kumtembelea Mtu na namna ya kubisha hodi
- Adabu za kuvaa mavazi
- Adabu za kumtembelea Mgonjwa
- Adabu za kulala na kuamka
- Ndoto
 
- Adabu ya Mazungumzo
- Adabu ya Safari
- Adabu ya Muskiti
- Adabu za Ndoto
 
- General Islamic Etiquette
- Dua mbali mbali
 
- Major Sins and Prohibitions
- Arabic Language
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Mawaidha yanayo vunja moyo
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Da’wa namna ilivyo kwa sasa
- The Importance of Calling to Allah
 
- History
- Islamic Culture- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
 
- Khutba za mimbar
- Academic lessons- General Public of Muslims
- Books on Islamic Creed
- Elimu
- Islamic Knowledge Source Texts- Source Texts of Quran's Interpretation
- Source Texts of Quran's Recitations and Reciting Rules
- Source Texts of Islamic Creed
- Source Texts of Prophetic Sunnah
- Source Texts of Arabic Grammar
- Source Texts of Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Source Texts of Islamic Jurisprudence
- Audio Books and Source Texts
 
- Seekers of Knowledge
- Seekers of Knowledge (Beginners)
 
- The Prophetic Biography
- Introducing Islam to Muslims
- Introducing Islam to non-Muslims
- A Guidance for the Worlds
 
Introducing Islam to Muslims
Idadi ya Vipengele: 55
- Nyumbani
- Lugha ya maonyesho : Kiswahili
- Lugha ya maudhui : Lugha zote
- Introducing Islam to Muslims
-  Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaMada hii inazungumzia: Hijja ni wito na kwamba ni muhimu kujitahidi kufanya ibada katika masiku ya Hijja nakumuomba Allah sana ili kupata radhi za Allah katika masiku yahija matukufu. 
-  Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaMada hii inazungumzia: Siku ya Arafa na fadhila zake na kwamba Hijja haikamiliki bila ya kusimama Arafa na ni siku ambayo dua zinajibiwa, pia imezungumzia umuhimu wa kushukuru neema za Allah. 
-  Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaMada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayofanywa katika siku za Minah nayo: kurusha mawe na kunyoa nywele nakuchinja, kisha amebainisha wakati anaotakiwa alhaji kuvuwa ihram, na inatakiwa kwa alhaji kukithirisha kumtaja Allah. 
-  Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaMada hii inazungumzia: Matendo yanayofanywa katika siku za Minah (ayyamu Tashriq) na namna ya kurusha mawe (Jamarat) pia imezungumzia umuhimu wa kulala mina kama alivyofanya Mtume (s.a.w) na ubora wa kujiepusha na uzushi. 
-  Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaMada hii inazunguzia ubora wa kutoa Sadaka, na namna Mtume s.a.w alivyoizungumzia Sadaka. 
-  Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Yunus Kanuni NgendaMada hii inazungumzia ubora wa kumlea yatima na hatari ya kumdhulum, kumnyanyasa na kumtesa. 
-  Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaMada hii inazungumzia kuoga,maana yake,na nyakati za wajibu kuoga,na jinsi alivyo oga mtume s.a.w,namna ya kuoga janaba, na hedhi na nifasi,ukumbusho muhimu. 
-  Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaMada yakuona kwalugha ya Kiswahili inazungumzia hukumu ya kupangusa juu ya khofu mbili. 
-  Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaMada hii inazungumzia hukumu za kutayamamu,maana yake,na hukumu yake na wakati wa kutayamamu,mwanzo wa kutayamamu na mwisho wake,na jinsi ya kutayamamu,na vinavyo haribu kutayamamu, 
-  Kiswahili Mhadhiri : Swalehe Ibrahim Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaKhutba hii inazungumzia ubora wasiku ya Arafa na maana ya siku ya arafa na neema kubwa ya Allah kwa waja wake katika siku ya Arafa. 
-  Kiswahili Mhadhiri : ATHUMANI SHEE Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaMada hii inazungumzia ubora wa masiku kumi ya mfungo tatu,na sababu yakuyafanya yawe ora,na rehma ya Allah katika masiku hayo,na kufadhilisha Allah badhi ya viumbe vyake kwa vingine. 
-  Kiswahili Mhadhiri : Yusufu Abdi Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaKhutba hii inazungumzia uchungu wa wenye kutubia na hali za wenye kutbia. 
-  Kiswahili Mhadhiri : Zuberi Athumani Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaMADA HII INAZUNGUMZIA THAMANI YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI NA UBORA WAKE NA ATHARI ZINAZO ACHWA NA MWEZI WA RAMADHANI BAADA YA KUONDOKA. 
-  Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani RukonkwaMada hii inazungumzia kuchinja na hukumu yake na hukumu ya kuchinja kwaajili ya mizimu na na mashetani ao makaburi. 
- Kiswahili