Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Idadi ya Vipengele: 2

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazunguzia adabu na umuhimu wa salam katika uislam

  • Kiswahili

    MP3

    • Mada hii inazunguzia Sunna Adabu za chakula na tofauti zao katika kupata rizki na hukumu za bismilahi katika kula. • Mada hii inazunguzia Adabu za kula na hukumu ya kudhihirisha bismilahi,na hukumu ya kuacha bismilahi. • Mada hii inazunguzia Adabu za kula chakula na hukumu ya kulamba chakula na ubora wake. • Mada hii inazunguzia Adabu za chakula,makatazo zakula chakula cha moto,na kupuliza chakula,nakukitia aibu chakula,nakula kwa mkono wa kulia.

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1