- Classification Tree
- Qur-ani tukufu
- Sunna
- Islamic Creed
- Tauhidi
- Ibada
- Uislamu
- Imani
- Mambo ya Imani
- Ihsani (Wema)
- Ukafiri
- Unaafiki
- Shirki
- Uzushi
- Maswahaba na familia ya Mtume (s.a.w)
- Kumuomba Allah kwa kupitia kitu fulani
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jini
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahlu-sunna wal-jamaa
- Doctrines and Religions
- Mapote
- Tofauti inayo nasibishwa na Uislamu
- Contemporary Ideological Doctrines
- Fiqhi
- Ibada
- Twahara
- Prayer
- Jeneza
- Zaka
- Swaumu
- Hijja na Umra
- Hukumu za Hutuba ya Ijumaa
- Sala ya Mgonjwa
- Sala ya Msafiri
- Swala ya Vitani
- Transactions
- Viapo na Nadhiri
- Familia
- Tiba ya kutumia dawa na Ruqya ya kisheria
- Vyakula na vinywaji
- Makosa ya jinai
- Judiciary System in Islam
- Jihadi
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqhi ya sehemu ambayo waislamu ni wachache
- Siasa ya kisheria
- Madhehebu ya kifiqhi
- Fataawa
- Msingi wa Fiqhi
- Books on Islamic Jurisprudence
- Ibada
- Ubora
- Ubora wa Ibada
- Ubora wa Tabia
- Adabu mbali mbali
- General Islamic Etiquette
- Adabu za salamu
- Adabu za Barabarani na Sokoni
- Adabu za kula na kunywa
- Etiquette of Hospitality
- Etiquette of Visiting People
- Adabu za kutoa Chafya
- Etiquette of Market
- Etiquette of Yawning
- Adabu za kumtembelea Mtu na namna ya kubisha hodi
- Adabu za kuvaa mavazi
- Adabu za kumtembelea Mgonjwa
- Adabu za kulala na kuamka
- Ndoto
- Adabu ya Mazungumzo
- Adabu ya Safari
- Adabu ya Muskiti
- Adabu za Ndoto
- General Islamic Etiquette
- Dua mbali mbali
- Major Sins and Prohibitions
- Arabic Language
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Mawaidha yanayo vunja moyo
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Da’wa namna ilivyo kwa sasa
- The Importance of Calling to Allah
- History
- Islamic Culture
- Periodic Occasions
- Contemporary Life vs Muslims' Affairs
- Schools and Education
- Mass Media and Journalism
- Press and Scientific Conferences
- Communication and Internet
- Sciences from Muslims Perspective
- Islamic Systems
- Website Competitions
- Various Apps and Programs
- Links
- Administration
- Khutba za mimbar
- Academic lessons
- General Public of Muslims
- Books on Islamic Creed
- Elimu
- Islamic Knowledge Source Texts
- Source Texts of Quran's Interpretation
- Source Texts of Quran's Recitations and Reciting Rules
- Source Texts of Islamic Creed
- Source Texts of Prophetic Sunnah
- Source Texts of Arabic Grammar
- Source Texts of Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Source Texts of Islamic Jurisprudence
- Audio Books and Source Texts
- Seekers of Knowledge
- Seekers of Knowledge (Beginners)
- The Prophetic Biography
- Introducing Islam to Muslims
- Introducing Islam to non-Muslims
- A Guidance for the Worlds
Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
Idadi ya Vipengele: 35
- Nyumbani
- Lugha ya maonyesho : Kiswahili
- Lugha ya maudhui : Lugha zote
- Kulingania katika njia ya Mwenyezi Mungu
- Kiswahili Mhadhiri : Swalehe Ibrahim Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
1- Mada hii inazungumzia: Hatari ya kukufuru neema na namna Mwnyezi Mungu alivyo angamiza baadhi ya watu baada ya kukufuru neema za Allah, pia imezungumzia jinsi Mwenyezi Mungu alivyotimiza neema zake juu ya waja wake, neema zilizo wazi na neema zilizo fichika 2- Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa neema kubwa ni neema ya Uislam na neema ya kuletwa Mtume Muhammad s.a.w, pia imezungumzia, hatari ya kumuasi Allah ni sababu ya kukosekana kwa Amani, na rizki na kuanguka Uchumi
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Namna mwadamu alivyojisahau katika duania, na kusahau kwamba ipo siku atatolewa roho yake, imezunguzia sifa za waja wema walio faulu duniani na akhera
- Kiswahili Mhadhiri : Swalehe Ibrahim Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: mambo matatu yanayo mfuata maiti baada yakufa ikiwemo watu wake na mali yake na matendo yake, vyote vitarudi ila matendo yake, hakika matendo mazuri ndio rafiki yako kaburini.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia:Kifo na mandalizi yake na mafanikio ya mwenye kufanya mema akiwa kaburini, pia kazungumzia maisha mapya kaburini, na uwajibu wa kufanya mema na kuacha maovu
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia: Ungofu ni katika neema kubwa za Allah, na binadamu akikosa uongofu huingia katika upotevu, imezungumzia pia kwamba maisha ya dunia ni starehe ndogo sana, na nyoyo zimekua ngumu kwasababu ya tamaa za dunia.
- Kiswahili Kurejea : Yasini Twaha Hassani
Mada hii inazungumzia: Mbinu wanazozitumia maadui wa Uislamu lengo ni kuuchafua uislam, lazima watu waisafishe dini ya Allah (S.w), imezungumzia pia ubaya wa kundi la khawarij na uharamu wa kuua au kumwaga damu bila haki.
- Kiswahili Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazungumzia:Kufanya juhudi ya kuyashinda matamanio na faida zake, na mwenye kuyashinda matamanio hawezi kuwa dhalili, imezungumzia pia hatari ya kuingiza matamanio katika dini (kuzua katika dini).
- Kiswahili Mhadhiri : Nurdin Kishki Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia Mwisho wa maisha ya mwanadamu na jinsi ya kujiandaa na Akhera.
- Kiswahili Mhadhiri : Nurdin Kishki Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazunguzia kisa cha kusisimua cha mwanamke mwenye subra.
- Kiswahili Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazunguzia namna ya kuutumia udhaifu katika kuupata ucha Mungu
- Kiswahili Mhadhiri : Husseni Saidi Sembe Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia kuondoa uovu na hatuwa zake.
- Kiswahili Mhadhiri : Husseni Saidi Sembe Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Khutba ya idi inazungumzia muislam alie fanikiwa na kwamba uislam ndio dini ya haki,na maaduwi wa uislam katika historia,na habari njema kwa waislam.
- Kiswahili Mhadhiri : Twaha Sulaiman Bane Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia umoja na mshikamano katika dini na faida zake.
- Kiswahili
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Anuwani ya mada hii ni: Da’awa ya haki inapiga vita makundi ya kisiasa, imeongelea pia aina za makundi na misingi ya da’awa ya kisnna.