Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Video

Idadi ya Vipengele: 1153

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni muujiza uliotokea kwa Abuu Ayyubul-Answar (r.a), pia imezungumzia kwa ufupi historia ya vita vilivyoteka Tabuki, na muujiza wa Mtume (s.a.w) uliotokea katika vita hivyo.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kukithirisha chakula yaani chakula kidogo kukifanya kingi, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) wa kukithirisha chakula uliotokea kwa Swahaba Abuu Twalha na Jabir (r.a).

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia:, ufafanuzi wa muujiza uliotokea katika sulhul-hudeybia, pia imezungumzia muujiza wa Mtume (s.a.w) wa kutemea mate katika kisima kilichokuwa kime kauka maji na maji yakajaa.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza ndani ya Qur’an aliyopewa Mtume (s.a.w) ni muujiza wa kupasuka mwezi, pia imezungumzia miongoni mwa miujiza ya Mtume (s.a.w) ni kulizuia jua, na kutoa maji katika vidole vyake Mtume (s.a.w).

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa miujiza aliopewa Mtume (s.a.w) ni muujiza wa Qur’an tukufu ambao unaitwa muujiza mkubwa, pia imezungumzia miujiza iliyomo ndani ya Qur’an, na namna makafiri walivyoshindwa kuleta mfano wa Qur’an.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miujiza ni kwa Mitume wa Mwenyezi Mungu na imebainisha tofauti kati ya karama na uchawi, na kwamba karama inakua kwa mtu mwema na uchawi ni kwa mtu muovu, pia inazungumzia miongoni mwa dalili za miujiza.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Miujiza ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na imebainisha tofauti kati ya miujiza ya Manabii waliopita na miujiza ya Mtume Muhammad (s.a.w), pia imezungumzia tofauti kati ya muujiza na karama, na sababu ya Mitume kupewa miujiza.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Maneno na wasia wa Mtume (s.a.w) kwa binti yake Fatwima na imeelezea heshima na adabu aliyokuwa nayo Fatwima (r.a), pia imezungumzia kwa ufupi historia ya Ummu Kuluthum mtoto wa Mtume (s.a.w).

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya mke wa Mtume (s.a.w) bi Maimuna bint Harith na kwamba ni katika wakeze Mtume (s.a.w) waliosifika na ucha Mungu, pia imeelezea habari za bi Fatwima na Ally bin Abiy Twalib (r.a).

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Uzinduo kwa akina mama wa kiislamu na kuwausia kufuata mwenendo wa nyumba ya Mtume (s.a.w), pia imezungumzia idadi ya wakeze Mtume (s.a.w), na umuhimu wa kufanya uadilifu na sulhu katika ndoa.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Nasaha kwa wanawake wote wa kiislamu kupitia mifano ya wanawake wa nyumba ya Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhumu wa kushikamana na dini na kujiepusha na tabia mbaya za kimagharibi.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Sababu ya mama Aisha (r.a) kuachwa na msafara na hatimaye kusaidiwa na Swahaba Swaf’wan bin Muwatwal (r.a), pia imezungumzia hatari na maafa ya ulimi.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Maneno aliyosema mama Aisha (r.a) kabla ya kushuka Aya kwa Mtume (s.a.w) za kumtakasa kutokana na uchafu aliozushiwa, pia imezungumzia hatari ya kumzushia muislamu uchafu wa zinaa na kwamba ni katika madhambi makubwa.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Mtume (s.a.w) kumruhusu bi Aisha (r.a) kwenda kwao wakati akisubiri suluhisho kutoka kwa Allah kutokana na uzushi aliozushiwa, pia imezungumzia kilio alicholia mama Aisha (r.a) mbele ya wazazi wake.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Kisa cha uzushi aliozushiwa mama Aisha (r.a) na kwamba madhara ya ulimi ni makubwa kulikoupanga, pia imezungumzia hatari na ubaya wa uzushi katika uislamu.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kujifunza na kuiga namna Mtume (s.a.w) alivyoishi na wake zake ili kuzijenga familia katika uislamu wa kweli, pia imezungumzia hatari ya kuvuka mipaka na kuipotosha jamii.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya mke wa Mtume (s.a.w) bi Aisha bint Abubakar (r.a) ambaye alisifika na sifa ya ujuzi (elimu), pia imezungumzia ubora na nafasi ya bi Aisha (r.a) katika uislamu.

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya mke wa Mtume (s.a.w) bi Safia bint Huyay (r.a) ambaye ni mwanamke aliyesifika na sifa ya ukweli, pia imezungumzia mafundisho yanayopatika kutoka katika nyumba ya Mtume (s.a.w).

  • Kiswahili

    YOUTUBE

    Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya mke wa Mtume (s.a.w) bi Hafsa bint Omar bunil-Khatwab (r.a) na kwamba ndio mke wa Mtume (s.a.w) katika pepo, pia imezungumzia mazingatio yanayopatikana katika nyumba ya Mtume (s.a.w).

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Historia fupi ya mke wa Mtume (s.a.w) Ummu Habiba Ramla bint Abi Sufiyan (r.a), na ukubwa wa imani na msimamo aliokuwa nao, pia imezungumzia sifa walizo kuwa nazo wake wa Mtume (s.a.w).