- The Noble Quran
- Sunnah of Prophet Muhammad
- Islamic Creed
- Tawhid (Monotheism)
- Worship
- Islam
- Imān (Faith)
- Matters of Faith
- Benevolence
- Disbelief (Infidelity)
- Hypocrisy
- Shirk (Polytheism)
- Religious Innovation: Types and Examples
- Companions and Family of Prophet Muhammad
- Tawassul (Solicitation)
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jinn
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahl-us-Sunnah wa al-Jama‘ah
- Doctrines and Religions
- Sects
- Attributed Sects to Islam
- Contemporary Ideological Doctrines
- Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Purification and its Rulings
- Prayer
- Rulings of Funeral
- Zakah
- Fasting
- Pilgrimage and Umrah
- Friday Sermon
- Prayer of the Sick
- Prayer of the Traveler
- Prayer during Fear
- Transactions
- Oaths and Vows
- Family
- Marriage
- Divorce
- Recommended and Disliked Divorce
- Revocable and Irrevocable Divorce
- Woman’s Waiting Period
- Li‘ān (Husband Swearing His Wife Had Intercourse with Another Man)
- Zihār (Likening One’s Wife to His Mother; To Prevent Her On Himself)
- ilā’ (Swearing Not to Intercourse with One's Wife)
- Wife Seeking Divorce
- Taking back One's Divorced Wife
- Breastfeeding
- Child's Custody
- Alimony
- Clothes and Adornment
- Entertainment
- Muslim Society
- Youth Affairs
- Women Affairs
- Children Affairs
- Medicine and Treatment and Islamic Faith-Healing
- Foods and Drinks
- Islamic Criminal Law
- Judiciary System in Islam
- Jihad
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqh of Minorities
- Islamic Policy
- Schools of Islamic Jurisprudence
- Fatāwa (Fatwas)
- Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Books on Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Virtues/Noble Characteristics
- Arabic Language
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Softening Hearts Reminders
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Current State of Calling to Allah's Religion
Video
Idadi ya Vipengele: 1121
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani
Mada hii inazunguzia,wakewanaostahiki kupewa talaka,kwasababu ya tabiya mbaya walizo nazo zinazo pingana na uislam.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia kuweka kiziwizi wakati wa kuswali,na namna ya kufanya akipita mtu mbele ya mwenye kuswali,na vitu venye kutengua swala vikipita mbele,na anaetakiwa kuweka kiziwizi.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia kuoga,maana yake,na nyakati za wajibu kuoga,na jinsi alivyo oga mtume s.a.w,namna ya kuoga janaba, na hedhi na nifasi,ukumbusho muhimu.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada yakuona kwalugha ya Kiswahili inazungumzia hukumu ya kupangusa juu ya khofu mbili.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia hukumu za kutayamamu,maana yake,na hukumu yake na wakati wa kutayamamu,mwanzo wa kutayamamu na mwisho wake,na jinsi ya kutayamamu,na vinavyo haribu kutayamamu,
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Barahiyan Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
MADA HII INAZUNGUMZIA SIFA ZAKADHI KATIKA UISLAM.
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Barahiyan Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
MADA HII INAZUNGUMZIA UMUHIMU WA MAHAKAMA YA KADHI NA UMUHIMU WAKE.
- Kiswahili Mhadhiri : Swalehe Ibrahim Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Khutba hii inazungumzia ubora wasiku ya Arafa na maana ya siku ya arafa na neema kubwa ya Allah kwa waja wake katika siku ya Arafa.
- Kiswahili Mhadhiri : ATHUMANI SHEE Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia ubora wa masiku kumi ya mfungo tatu,na sababu yakuyafanya yawe ora,na rehma ya Allah katika masiku hayo,na kufadhilisha Allah badhi ya viumbe vyake kwa vingine.
- Kiswahili Mhadhiri : Nurdin Kishki Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Khutba hii inazungumzia miezi mitukufu na ubainifu wake kwa majina,na malipo ya mwenye kutenda mema na maovu,na sababu ya kuitwa miezi hiyo,namatendo mema aliyo tuongoza mtume tuyafanye.
- Kiswahili Mhadhiri : Aly Bahero Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Khutba hii inazungumzia uhatari wakula riba na milango ya riba na adhabu za mla riba na uharamu wa kuwekeza katika mabenki ya riba na namna wanavyo patwa watu na vumbi la riba,na adhabu za mla riba.
- Kiswahili Mhadhiri : Nurdin Kishki Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia ugonjwa wa ukimwi (HIV)niadhabu kutoka kwa Allah ao nimaradhi? na niipi tiba ya ukimwi baada ya kumsibu mwanadamu na kabla ya kumsibu mtu.
- Kiswahili Mhadhiri : Nurdin Kishki Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia ndowa yenye Baraka katika uislam,na kheri zinazo letwa na ndowa yenye baraka.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
MADA HII INAZUNGUMZIA FADHILA ZA MAMA NA HAKI ZA WAZAZI KWA UJUMLA NA MAMBO AMBAYO AKIYAFANYA MTOTO ANAKUWA AMEWATENGA WAZAZI WAKE.
- Kiswahili Mhadhiri : Abuu Bilal Athumani Bun Nouman Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia historia ya wanachuoni wa africa mashariki ambao walio toa mchango mkubwa katika uiendeleza dini ya allah.
- Kiswahili Mhadhiri : Yusufu Abdi Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Khutba hii inazungumzia uchungu wa wenye kutubia na hali za wenye kutbia.
- Kiswahili Mhadhiri : Aly Bahero Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Khutba hii inazungumzia uadilifu katika dini na fadhila za kufanya uadilifu.
- Kiswahili Mhadhiri : Aly Bahero Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Khutba hii inazungumzia thamani ya undugu katika uislam na ubora wakuwa ndugu.
- Kiswahili Mhadhiri : Hashim Rusaganya Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Khutba hii inazungumzia khasara tatu za muislam,na utukufu wa makkah na madina na maeneo yenye historiya katika mji mituku wa maka na madina na mazingatio katika sehemu hizo.
- Kiswahili Mhadhiri : Abuu Bilal Athumani Bun Nouman Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Haki Za Maiti - 2: Mada hii inazungumzia haki za maiti kwa vitendo.