Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Islamic Creed

Idadi ya Vipengele: 436

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuwalingania watu na kuwatahadharisha na Moto ambao kuni zake ni watu na mawe.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) ameeleza kuwa tabiya ya mtume ilikuwa Quraan, na ametumwa ili kutimiliza tabiya nzuri, ameongelea njia salama za malezi ya watoto, na njia ya mtume katika kurekebisha makosa.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) amezungumzia cheo cha tabia nzuri, na aina ya tabiya njema, ameeleza kuwa mtume alisifiwa kwa tabia njema.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) amezungumzia kuwa misiba inayo wapata wanadamu nisababu ya kupandishwa daraja na kusamehewa madhambi yake, kisha amezungumzia neema ya Afya.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) amezungumzia hukumu za Kafara na aina zake na badhi ya ibada ambazo zinafuta madhambi.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) amebainisha yanayo muokowa na Adhabu za moto, na ameeleza dhambi ambazo hazisameheki, kaiha amebainisha aina za tawba, na makosa ya watu katika tawba.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia:.wasia wa Mtume kwa Muadhi, ameeleza qauli za watu wema katika kuwahusia watu uchamungu, pia amewahusia watu kumcha Allah katika kila Nyanja za maisha.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia:.wasia wa Mtume kwa Muadhi anaendelea kutaja faida za Uchamungu kama kupendwa na Allah, kuondolewa na khofu na huzuni.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia:.wasia wa Mtume kwa Muadhi amebainisha matunda yanayo patikana katika uchamungu, ni kinga na maaduwi, na atampa nguvu na nusra, na atampa njia ya kujiepusha na matatizo, na kupata wepesi.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Utambulisho wa Muadhi bin Jbal r.a, na nafasi yake kwa mtume na sifa za muadhi, kisha ameeleza wasia wa mtume kwa Muadhi, kasha ameeleza yalio kuja katika wasia ikiwemo maana ya Uchamungu.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuhamasisha watu katika kutafuta elimu, pia imezungumzia chuki za makafiri juu ya waislamu na tofauti kati ya dola ya kiislamu na dola isiyokuwa ya kiislamu.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Utofauti na mgawanyiko wa elimu katika jamii na kwamba kuna elimu ya lazima na elimu isiyo ya lazima, pia imezungumzia umuhimu wa elimu ya dini ambayo ndiyo elimu ya faradhi.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Maswali na majibu, na imefafanua uharamu wa kufanya biashara ya nguruwe na kutumia chumo linalopatikana katika biashara hiyo, pia imezungumzia hatari ya kula haramu na kwamba mwnye kula haramu hata dua yake haijibiwi.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Hatari ya kuzua jambo katika dini ya Mwenyezi Mungu na umuhimu wa kufuata Qur’an na Sunna za Mtume (s.a.w), pia imezungumzia uwajibu wa kutafuta elimu kwa kila Muislamu.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuwafundisha watoto Qur’an na Sunna za Mtume (s.a.w) na maadili ya kiislamu, pia imezungumzia ubora wa kumuiga Mtume (s.a.w) katika matendo, na hatari ya kuiga tabia za kimagharibi.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Sababu ya Maswahaba kufanya (Hijra ya kwanza) kuhama kutoka Makkah kwenda Habashi na yale waliyo jifunza, pia imezungumzia mbinu, njia na namna ya kufundisha.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Mipango ya makafiri juu ya kuuangamiza uislamu na kwamba ni mipango ya muda mrefu, pia imezungumzia umuhimu wa waislamu kujidhatiti katika vyuo, misikitiki na majumbani ili kuwajenga vijana wa kiislamu katika imani ya kweli.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayofanya imani izidi ni muislamu kudumu katika kuisoma Qur’an tukufu, pia imezungumzia umuhimu wa kufanya da’awa kama walivyofanya Maswahaba (r.a.w).

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa elimu na kwamba elimu humfanya muislamu kuwa juu endapo atasoma kwa ajili ya Allah, pia imezungumzia umuhimu wa waislamu kusomea udaktari kutokana na zama tulizo nazo.

  • Kiswahili

    MP4

    Mada hii inazungumzia: Masharti ya kukubaliwa matendo na imefafanua maana ya kufanya jambo kwa ajili ya Allah, pia imezungumzi umuhimu wa kutafuta elimu kwa ajili ya Allah na kuunufaisha umma wa kiislamu.