- The Noble Quran
- Sunnah of Prophet Muhammad
- Islamic Creed
- Tawhid (Monotheism)
- Worship
- Islam
- Imān (Faith)
- Matters of Faith
- Benevolence
- Disbelief (Infidelity)
- Hypocrisy
- Shirk (Polytheism)
- Religious Innovation: Types and Examples
- Companions and Family of Prophet Muhammad
- Tawassul (Solicitation)
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jinn
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahl-us-Sunnah wa al-Jama‘ah
- Doctrines and Religions
- Sects
- Attributed Sects to Islam
- Contemporary Ideological Doctrines
- Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Purification and its Rulings
- Prayer
- Rulings of Funeral
- Zakah
- Fasting
- Pilgrimage and Umrah
- Friday Sermon
- Prayer of the Sick
- Prayer of the Traveler
- Prayer during Fear
- Transactions
- Oaths and Vows
- Family
- Marriage
- Divorce
- Recommended and Disliked Divorce
- Revocable and Irrevocable Divorce
- Woman’s Waiting Period
- Li‘ān (Husband Swearing His Wife Had Intercourse with Another Man)
- Zihār (Likening One’s Wife to His Mother; To Prevent Her On Himself)
- ilā’ (Swearing Not to Intercourse with One's Wife)
- Wife Seeking Divorce
- Taking back One's Divorced Wife
- Breastfeeding
- Child's Custody
- Alimony
- Clothes and Adornment
- Entertainment
- Muslim Society
- Youth Affairs
- Women Affairs
- Children Affairs
- Medicine and Treatment and Islamic Faith-Healing
- Foods and Drinks
- Islamic Criminal Law
- Judiciary System in Islam
- Jihad
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqh of Minorities
- Islamic Policy
- Schools of Islamic Jurisprudence
- Fatāwa (Fatwas)
- Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Books on Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Virtues/Noble Characteristics
- Arabic Language
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Softening Hearts Reminders
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Current State of Calling to Allah's Religion
Islamic Creed
Idadi ya Vipengele: 436
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inaelezea kuhusu Daraja za dini na maana yake kisha ameeleza maana ya Uislam.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii ina fuata mada iliyo pita katika kuelezea Ushahidi kuwa Allah yuko mbinguni.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inaelezea kuhusu alipo Allah Mtukufu, kabainisha kuwa yuko mbinguni na amestawi juu ya Arshi yake na hafanani na kiumbe yoyote katika kustawi kwake.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inaelezea kuhusu Maana ya kumfuata Mtume rehma na amani za Allah ziwe juu yake, kisha ametaja hatuwa za kumfuata Mtume na Maswahaba zake, Kisha ametaja baadhi ya sunnah za Mtume kama swaumu ya Ashuraa.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inakamilisha mada ilio pita pia amebainisha athari za wanao shahidilia kuwa Mtume Muhamad ni Mtume wa Allah.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inaelezea kuhusu maana ya shahada ya pili ambayo ni Shahada ya kuwa Muhamad ni mjumbe wa Allah. Maana yake na dalili za uwajibu wa kumfuata Mtume.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inaelezea Maana ya neno la Tawhiid na Umuhimu wake na matendo yanayo pingana na neno hilo.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia umuhimu wa tawhid na nguzo zake
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inaelezea Maana ya Tawhiid na Ibada kisha ameelezea wigo wa Ibada za qauli na vitendo.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea: Umuhimu wa kusafisha nia wakati wa kutoka nyumbani kwenda Msikitini, pia imezungumzia ubora wa kujiepusha na yale yaliyo katazwa.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea: Kisa cha kipofu Abdillahi bin Ummi Maktum na hukumu zinazo tolewa katika hadithi hiyo.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuacha maasi na kurudi kwa Allah, pia imeelezea hatari ya kuzama katika maovu
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii Inaelezea kuhusu umuhimu wa kufuata walio tutngulia kwa wema, ili wajifunze watoto wetu kutokana na matendo yetu mema.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea Misingi Minne ya Imamu Muhamad bin Abdul Wahab, Allah amrehemu, amelezea msingi wa nne kwamba washirikina wa zama hizi wana shirki kubwa kuliko wa zamani.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea Misingi Minne ya Imamu Muhamad bin Abdul Wahab, Allah amrehemu, amelezea msingi wa tatu ambao ni hali ya watu wakati wa kutumwa mtume alayhi salaam.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea Misingi Minne ya Imamu Muhamad bin Abdul Wahab, Allah amrehemu, amelezea Msingi wa kwanza kwamba kuamini Rububiyah hakumfanyi mtu kuwa Muislam, na wa pili, kwamba Maquraishi walikuwa wakiabudu masanamu ili yawakuribishe kwa Allah.
- Kiswahili Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea Misingi Minne ya Imamu Muhamad bin Abdul Wahab, Allah amrehemu, amelezea Umuhimu wa Tawhid na faida zake na umuhimu wa kusoma misingi yake.
- Kiswahili Mhadhiri : Shahidi Muhamad Zaid Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Shahidi Muhamad Zaid
Mada hii inazungumzia: Alama za kukubaliwa tawba, kisha amebainisha hali ya malaika katika kuandika mema na maovu kwa mwanadamu.
- Kiswahili Mhadhiri : Shahidi Muhamad Zaid Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Shahidi Muhamad Zaid
Mada hii inazungumzia: kwamba mwenye kutubia Allah anabadilisha maovu yake kuwa mema, kisha ameelezea khatari ya madhambi makubwa.
- Kiswahili Mhadhiri : Shahidi Muhamad Zaid Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Shahidi Muhamad Zaid
Mada hii inazungumzia: namna walivyo tubiya mitume wa Allah kama nabii Yunus alayhi salaam, kisha akabainisha kuwa mja kuacha kutubiya ni kuidhulumu nafsi yake.