Utunzi wa kielimu

معلومات المواد باللغة العربية

Softening Hearts Reminders

Idadi ya Vipengele: 18

  • Kiswahili

    MP3

    1- Makala hii inazunguzia: Umoja wa kweli amezungumzia kuhusu umuhimu wa kujifunza dini na na faida za mshikamano pia amebainisha matunda ya umoja, na umoja ni suna ya mtume (s.a.w). 2- Makala hii inazunguzia: Umoja wa kweli amezungumzia maana ya umoja na umoja wakweli katika Quraan na suna, pia amezungumzia mishikamano ilio haramishwa na Allah, pia amebainisha maana ya kamba ya Allah. 3- Mada hii imebainisha misingi ya Ahlu sunna waljamaa (Suni waljamaa), na umuhimu wa kuijuwa, miongoni hiyo, msingi wakwanza ni kuamini nguzo zote za imani, msingi wapili nikwamba: imani nikusema na vitendo inazidi kwa kufanya ibada na kupunguwa kwa kufanya maasi. 4- Mada hii imebainisha misingi ya Ahlu suna waljamaa, ikiwemo: uharam wa kumkufurushi muislam, na niwajibu kumtii kiongoza wa waislam, na niharam kuwasema vizuri maswahaba na kuto kuwatukama maswahaba wamtume (s.a.w), amezungumzia itikadi za mashie katika maswahaba.

  • Kiswahili

    MP3

    Khutba hii inazungumzia chimbuko la amani,na misingi ya mshikamano.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Swalehe Ibrahim Kurejea : Yasini Twaha Hassani

    1- Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sababu zinazo pelekea nyoyo za watu kuwa ngumu, ni watu kuzama ktika maasi kama vile uzinifu, ulevi, kutembea uchi na kuchanganyika wanaume na wanawake, pia imezungumzia sababu za bani Israil kuwa na nyoyo ngumu na kulaaniwa. 2- Mada hii inazungumzia: Waumini wa kweli kwamba ni wale ambao wanaposikia Aya za Allah nyoyo na ngozi zao zina sisimka, pia imeelezea umuhimu wa kusikiliza maneno ya Allah na kuyazingatia

  • Kiswahili

    MP3

    Maana ya Aibu pila ameeleza kua Allah anazijua siri zetu, kisha ameeleza udhaifu wa mwanadamu na tabia za watu katika kusema aibu za wenzao, na tiba ya maradhi ya kutangaza aibu za watu.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia sababu za kupata mali, miongoni mwa sababu hizo: Ni Uchamungu, na ukweli katika maneno na vitendo na katika niya yake, hiyo nisababu ya kutengamaa mambo yote.

  • Kiswahili

    MP3

    1. Mada hii inazungumzia Umuhimu wa kuwa mchamungu na hasara za kukosa uchamungu kisha akaelezea kuwa Mwaka mpya nimwaka wa kuihesabu Nafsi. 2. Mada hii imezungumzia ufupi wa umri wa mwanadamu, nakwamba ameumbwa kutokana na masiku, kisha akabainisha kuwa katika kuihesabu nafsi nikujuwa mema aliyo yafanya, na kwamba kuikaguwa nafsi nikatika alama ya Uchamungu. 3. Mada hii inazungumzia miongoni mwa kuihesabu nafsi ni kuihesab nafsi na kujuwa chanzo cha uovu wake, na kwanini inapata uzito wa kuswali! Kisha amezungumzia umuhimu wa kujuwa uhalali na uharamu wa vyakula vyetu, na kwamba mtu asie swali nikafiri. 4. Mada inazungumzia Miongoni mwa kuihesabu nafsi nikutekeleza ibada ya swala, na familia yote, na kwamba swala ndio funguo za rizki, kisha ameeleza hali ya watu na swala zao pindi wanapo safiri zao, pia ameleza umuhimu wa kuhesabu mali ili kuzitolea zaka.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Arafat Magmoud Kurejea : Yasini Twaha Hassani

    1- Mada hii inazungumzia: Neema za nyumba na faidazake, nakwamba nyumba niukamilifu wa neema za Allah kwa waja wake, pia imezungumzia baadhi ya faida za nyumba kama vile makazi, stara, kulala, ibada ya swala na ibada ya ndoa. 2- Mada hii inazungumzia: Nyumba ni sehem ya kumstiri mwanamke na kumlinda na swala iliyo bora kwa mwanamke ni nyumbani, na wanawake wema ni wale wenye kutulia majumbani mwao, pia imezungumzia umuhimu wa kuwafundisha dini na adabu wake na watoto katika majumba. 3- Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuwafundisha wanawake na watoto mambo ya Sunna na mavazi ya stara ili kuepuka masuuliya siku ya Qiyama, pia imezungumzia ubora wa kulazimiana na nyumba na kutenga muda kwa ajili ya kumtaja Allah ili kuepukana na fitna. 4- Mada hii inazungumzia: Nyumba ni nyenzo kubwa ya kujenga jamii ya kiislam na kutoa wanachuoni pamoja na wanawake wema, pia imezungumzia umuhimu wa mzazi kuwaombea dua ya kheri wanae.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Swalehe Ibrahim Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    1- Mada hii inazungumzia: Hatari ya kukufuru neema na namna Mwnyezi Mungu alivyo angamiza baadhi ya watu baada ya kukufuru neema za Allah, pia imezungumzia jinsi Mwenyezi Mungu alivyotimiza neema zake juu ya waja wake, neema zilizo wazi na neema zilizo fichika 2- Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa neema kubwa ni neema ya Uislam na neema ya kuletwa Mtume Muhammad s.a.w, pia imezungumzia, hatari ya kumuasi Allah ni sababu ya kukosekana kwa Amani, na rizki na kuanguka Uchumi

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazungumzia: Namna mwadamu alivyojisahau katika duania, na kusahau kwamba ipo siku atatolewa roho yake, imezunguzia sifa za waja wema walio faulu duniani na akhera

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia: mambo matatu yanayo mfuata maiti baada yakufa ikiwemo watu wake na mali yake na matendo yake, vyote vitarudi ila matendo yake, hakika matendo mazuri ndio rafiki yako kaburini.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia:Kifo na mandalizi yake na mafanikio ya mwenye kufanya mema akiwa kaburini, pia kazungumzia maisha mapya kaburini, na uwajibu wa kufanya mema na kuacha maovu

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazungumzia: Ungofu ni katika neema kubwa za Allah, na binadamu akikosa uongofu huingia katika upotevu, imezungumzia pia kwamba maisha ya dunia ni starehe ndogo sana, na nyoyo zimekua ngumu kwasababu ya tamaa za dunia.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia:Kufanya juhudi ya kuyashinda matamanio na faida zake, na mwenye kuyashinda matamanio hawezi kuwa dhalili, imezungumzia pia hatari ya kuingiza matamanio katika dini (kuzua katika dini).

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia Mwisho wa maisha ya mwanadamu na jinsi ya kujiandaa na Akhera.

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazunguzia kisa cha kusisimua cha mwanamke mwenye subra.

  • Kiswahili

    MP3

    Mhadhiri : Shamsi Ilmi Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda

    Mada hii inazunguzia namna ya kuutumia udhaifu katika kuupata ucha Mungu

  • Kiswahili

    MP3

    Mada hii inazungumzia umoja na mshikamano katika dini na faida zake.

  • Kiswahili

    MP3

Ukurasa : 1 - Kutoka : 1