- The Noble Quran
- Sunnah of Prophet Muhammad
- Islamic Creed
- Tawhid (Monotheism)
- Worship
- Islam
- Imān (Faith)
- Matters of Faith
- Benevolence
- Disbelief (Infidelity)
- Hypocrisy
- Shirk (Polytheism)
- Religious Innovation: Types and Examples
- Companions and Family of Prophet Muhammad
- Tawassul (Solicitation)
- The Concept of the Miraculous Acts Done by Some Righteous People
- Jinn
- Loyalty and Friendship vs Disavowal and Enmity
- Ahl-us-Sunnah wa al-Jama‘ah
- Doctrines and Religions
- Sects
- Attributed Sects to Islam
- Contemporary Ideological Doctrines
- Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Purification and its Rulings
- Prayer
- Rulings of Funeral
- Zakah
- Fasting
- Pilgrimage and Umrah
- Friday Sermon
- Prayer of the Sick
- Prayer of the Traveler
- Prayer during Fear
- Transactions
- Oaths and Vows
- Family
- Marriage
- Divorce
- Recommended and Disliked Divorce
- Revocable and Irrevocable Divorce
- Woman’s Waiting Period
- Li‘ān (Husband Swearing His Wife Had Intercourse with Another Man)
- Zihār (Likening One’s Wife to His Mother; To Prevent Her On Himself)
- ilā’ (Swearing Not to Intercourse with One's Wife)
- Wife Seeking Divorce
- Taking back One's Divorced Wife
- Breastfeeding
- Child's Custody
- Alimony
- Clothes and Adornment
- Entertainment
- Muslim Society
- Youth Affairs
- Women Affairs
- Children Affairs
- Medicine and Treatment and Islamic Faith-Healing
- Foods and Drinks
- Islamic Criminal Law
- Judiciary System in Islam
- Jihad
- Fiqh of Contemporary Issues
- Fiqh of Minorities
- Islamic Policy
- Schools of Islamic Jurisprudence
- Fatāwa (Fatwas)
- Fundamentals of Islamic Jurisprudence
- Books on Islamic Jurisprudence
- Acts of Worship
- Virtues/Noble Characteristics
- Arabic Language
- Calling to Allah's Religion
- Issues That Muslims Need to Know
- Softening Hearts Reminders
- Promotion of Virtue and Prevention of Vice
- Current State of Calling to Allah's Religion
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia: Hali za waislamu pamoja na makafiri, sababu za udhaifu wa waislamu na siri ya umma kuwa na nguvu.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia msimamo wa Uislam kuhusu kujiripuwa na aina za kujitoa muhanga,hukumu ya kujitoa muhanga,na sababu za kujiripua na uislam wa mwenye kujiripua.
- Kiswahili Mhadhiri : Ahmad Al Zahran Kurejea : Yunus Kanuni Ngenda
Mada hii inazunguzia maana ya Ayayatul-kursy na utukufu wake.
- Kiswahili Mhadhiri : Hilal Sheweji Kipozeo Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea ubora wa Suratul-fatiha na hatari ya kuipuuza Qur,an tukufu.
- Kiswahili Mhadhiri : Hilal Sheweji Kipozeo Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inaelezea namna jamii ilivyo vurugika na uislam ndio dini pekee ya kuweza kubadisha maadili.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
• Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujitoa katika fitna,namambo aliyo tabiri Mtume s.a.w, ktk zama za mwisho. • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na ubaya wa fitna na shubuhati • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na Ubora Wa Subra Katika zama za fitna,na hasara ya kufanya mambo kwa jazba • Mada hii inazungumzia zama za fitna najinsi yakujiepusha na fitna,na aina za utawala baada ya Mtume s.a.w, na ujumbe aliouacha Mtume s.a.w kuhusu utawala baada yake.
- Kiswahili Mhadhiri : Husseni Saidi Sembe Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Khutba hii inazungumzia chimbuko la amani,na misingi ya mshikamano.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia mambo 6 ambayo muislam amepewa dhamana ya kuingia peponi mwenye kuyahifadhi.
- Kiswahili Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia thamani ya swala ya Alfajiri katika Jamaa katika mwezi wa ramadhani,na namna ambavyo zinavyo zidishwa thawabu za swala ya alfajiri.
- Kiswahili Mhadhiri : Yasini Twaha Hassani Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia mambo ambayo unapoyafanya unatoka katika uislam nayo niushirikina.
- Kiswahili Mhadhiri : Mohammad Sharifu Famau Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii imezungumzia kusimamisha dini na umuhimu wake na misingi ya kusimamisha dini na madhara ya kufarikiyana.
- Kiswahili Mhadhiri : Shahidi Muhamad Zaid Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Muhadhara huu unazungumzia namna ya kutawadha,na kuoga,na kutayamamu,kupaka juu ya khofu,na jinsi ya kutawadha mgonjwa.pia namna ya kuswali,yanayo chukiza katika swala,na yanayo batilisha swala,na sijda ya kusahau,na hukumu ya mtu asie swali.
- Kiswahili Mhadhiri : Shahidi Muhamad Zaid Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Muhadhara huu unazungumzia kumpwekesha allah,na umuhimu wa muislam kuwa na itikadi sahihi,na makosa yanayo pingana na itikadi sahihi.
- Kiswahili Mhadhiri : Shahidi Muhamad Zaid Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Muhadhara huu unazungumzia cheo cha maswahaba,na nafasi yao katika umma wa kiislam, na thamani yao kwa allah,na uwajibu wa kutetea heshima yao.
- Kiswahili Mhadhiri : Qasim Mafuta Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia itikadi sahihi ya ahlusuna wal jamaa na imekusanya mambo muhimu katika mambo yanayo takiwa na kila muislam kuyatambuwa.
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Barahiyan Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia maana ya ibada na athari za ibada na juhudi za maswahaba katika kuifwaata dini. pia madahii inazungumzia maana ya lailaha ila allah.
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Barahiyan Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia itikadi sahihi ya mwislam ambayo anatakiwa kila muislam kuifuata,pia itikadi ambayo mwislam hatakiwa kuifuata kama itikadi za kishia na itikadi za kinaswara.
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Barahiyan Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia ufafanuzi kuhusu maana halisi ya ibada,na mtizamo mbaya ju ya maana ya ibada,na lengo la kuumbwa mwanadamu,na lengo la kutumwa mitume alayhimu ssalam
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Barahiyan Mhadhiri : Abubakari Shabani Rukonkwa Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia sherehe ya misingi mitatu.
- Kiswahili Mhadhiri : Salim Barahiyan Kurejea : Abubakari Shabani Rukonkwa
Mada hii inazungumzia sherehe ya kitabu cha tawhidi,na uwajibu wa kumswalia mtume,na namna ya kumswalia mtume,na fadhila za ahlul baiti,na ubatilifu wa itikadi ya mashia.matusi ya mashia kwa ahlul baiti.