105 - Surat Al-Fil ()

|

(1) Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyowatenda wale wenye tembo?

(2) Kwani hakujalia vitimbi vyao kuharibika?

(3) Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi.

(4) Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni.

(5) Akawafanya kama majani yaliyoliwa!