110 - Surat An-Nasr ()

|

(1) Itakapokuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi.

(2) Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi.

(3) Basi zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha. Hakika Yeye ndiye anayepokea toba mno.