114 - Surat An-Nas ()
|
(1) Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanadamu.
(2) Mfalme wa wanadamu.
(3) Mungu wa wanadamu.
(4) Kutokana na shari ya Shetani mtia wasiwasi, ajifichaye mno (Al-Khannaas).
(5) Anayetia wasiwasi katika vifua vya watu.
(6) Kutokana na majini na wanadamu.