107 - Surat Al-Ma'un ()

|

(1) Je! Umemwona anayekadhibisha Malipo?

(2) Huyo ndiye anayemsukuma yatima.

(3) Wala hahimizi kumlisha masikini.

(4) Basi, ole wao wanaoswali.

(5) Ambao wanapuuza Swala zao.

(6) Ambao wanajionyesha.

(7) Na wanazuia msaada.